warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,382
Licha ya ndoa yao kuwa one of the biggest wedding ever iliyowahi kutokea South Africa, wanandoa maarufu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, kutoka South Africa , Somiz (47)& mohale (26)wanaripotiwa kuachana miezi ya hivi karibuni, chanzo kikiwa ni mohale kushutumiwa kuwa ni gold digger licha ya mume wake huyo kuwa millionare wa kutupwa.
Mara nyingi somizi amekua akilalamika kuwa mpenzi wake huyo amekua akitumia muda mwingi sana kwenye simu, na hata wanapokua pamoja sehemu mbali mbali mume wake huyo haonyeshi kama anafurahi penzi lao kama ilivyokua zamani
Hat hivyo , mara kwa mara wadau wamekua wakimshutumu mohale kuwa yuko na somizi kimaslahi tu na sio kuwa anampenda kweli, Kwan toka waachane mohale ameonekana kuwa unbothered na kuendelea na maisha yake. Hata hivyo bado wenyewe hawajaweka wazi kama wameachana kweli au ni rumors.
Mara nyingi somizi amekua akilalamika kuwa mpenzi wake huyo amekua akitumia muda mwingi sana kwenye simu, na hata wanapokua pamoja sehemu mbali mbali mume wake huyo haonyeshi kama anafurahi penzi lao kama ilivyokua zamani
Hat hivyo , mara kwa mara wadau wamekua wakimshutumu mohale kuwa yuko na somizi kimaslahi tu na sio kuwa anampenda kweli, Kwan toka waachane mohale ameonekana kuwa unbothered na kuendelea na maisha yake. Hata hivyo bado wenyewe hawajaweka wazi kama wameachana kweli au ni rumors.