Ndoa ya lazima

Imani yangu inaruhusu kuoa wanne but mimi sipendi hilo
 
Uliyataka mwenyewe kwa nn umpeleke kwenu huku ukijua una mke haya as cheza nayo
 
kabila lenu lina mambo ya kijinga
Mimi sijui mambo yyt yahusuyo kabila wala mila maana nimezaliwa town nimekulia town na hadi sasa nipo town home napasikia tu katika story
 
baba yangu akinilazimisha kuoa nitamwelewesha kwa busara akizidi kung'ang'ania nitamvunjia heshima.na lazima tuwe maadui kweli kweli
 
baba yangu akinilazimisha kuoa nitamwelewesha kwa busara akizidi kung'ang'ania nitamvunjia heshima.na lazima tuwe maadui kweli kweli
But radhi zake pia ni za muhimu
 
Uliyataka mwenyewe;
ni nani asiyependa pesa, wazazi wako wameshalainika.
Mnataka mkemfanye mswahili mwenzetu house girl wa mwarabu;
sawa, uamuzi ni wako bhana.
 
But radhi zake pia ni za muhimu
radhi kwa mke wangu ambae nilshazaa nae na alikuwa anajua,je angekuwa ni binti yake anatendwa hivyo angekubali.tusiwatendee watu mambo ambayo tukitendewa sisi yatatuumiza pia.
 
Kama dhehebu lako linaruhusu nakushauri umuoe nae kwa sababu ulishamtambulisha hata kwa familia yako
 
 
Uliyataka mwenyewe;
ni nani asiyependa pesa, wazazi wako wameshalainika.
Mnataka mkemfanye mswahili mwenzetu house girl wa mwarabu;
sawa, uamuzi ni wako bhana.
Nahisi hukunielewa vzr,nilimpeleka kwa sister coz they know about him but not for marriage!it was jast a friend kwa kuwa hakukuwa na reason behind.
Sasa dada yng kafika mahala kalizua hilo ofcoz!mbaya zaidi mzee wng amekuwa in touch zaidi
 
piga ndoa ya pili stress za nini wakati dini inaruhusu na huyo mwanamke yupo vizuri kiuchumi
 
Wanampenda huyo x wako coz anaonekana ana cash km ulivyosema...familia nyingi hudanganywa na fedha wanajua mkeo hana uwezo wa kuwapa mshiko but x wako anajimudu. LOVE DONT COST A THING.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…