Grand Canyon
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 547
- 1,193
Kwa nini hayaruhusu?Nilitamani sana ndoa yangu nifunge ya kimila lakin mazingira hayakuruhusu
Nimeangukia ya dini na maisha yanaendelea
Dini inapingana na MilaKwa nini hayaruhusu?
Nasikia ndoa ya kimila lakini sijui utaratibu wake ukoje? inapingana na dini katika mambo yapi?Dini inapingana na Mila
Dini siku zote inachukuliaga mambo ya kimila ni ya kishirikinaNasikia ndoa ya kimila lakini sijui utaratibu wake ukoje? inapingana na dini katika mambo yapi?
Wawili wanakubaliana kuoana,,, Kisha wanapeleka kwenye familia Kila upande unaridhia?? Ikitokea kila upande ukiridhia wanafanya Mila kwa mujibu WA kila upande then wanatoa BARAKA,,,, Mahali zinalipwa biashara inakwishaWakuu naomba msaada wa swali hili:
Ndoa ya kimila ipi?
Vigezo na masharti yake ni yapi?
Anayefungisha ndoa hii ni nani?
Wanandoa wa makabila tofauti wanafuata mila za nani?
Je ndoa ya kimila ina nyaraka (documents)?
Je ndoa hii ni halali 100% kama ya kufungia kwenye dini au kwa mkuu wa wilaya?
Natanguliza shukrani.
Ahsante. Je kuna nyaraka za kuthibitisha ndoa hii ya kimila?Wawili wanakubaliana kuoana,,, Kisha wanapeleka kwenye familia Kila upande unaridhia?? Ikitokea kila upande ukiridhia wanafanya Mila kwa mujibu WA kila upande then wanatoa BARAKA,,,, Mahali zinalipwa biashara inakwisha
Hayo masharti yanakuwa na maandishi?Ndoa za kimila zipo na very strong kwa makabila ambayo tamaduni bado zinazingatiwa..Kuoa kimila ni ngumu sana wanandoa kuachana kizembe kwa sababu ya masharti magumu ya ndoa hizi....
Hakuna maandishi, ni traditional practices zilizokuwepo kabla ya Elimu ya maandishi kufika AfricaHayo masharti yanakuwa na maandishi?
Nyaraka Kuu n pande zote mbili kuridhia na kutoa BARAKA katika Maisha yenu ya ndoa.Ahsante. Je kuna nyaraka za kuthibitisha ndoa hii ya kimila?
Dini ni mila vilevile.Dini inapingana na Mila