Ndoa ya bomani

Ndoa ya bomani

Kama yuko nchini kihalali, hakuna tatizo.


Samahani wanajamii wa Tz, naomba kuuliza kama kuna mtu anafahamu, JE naweza funga ndoa ya bomani na mtu asie mtanzania!!
 
I
Ndiyo ndoa rahisi zaidi ya yote. Fika kwenye ofisi za wilaya utoe taarifa ukiwa na viambatanisho vya msingi kama Certificate of no impediment marriage kwa huyo mtarajiwa wako au document inayoonyesha ni divorced.

Tangazo linachukua siku 21 ngoma inafungwa kiulaini unahitaji tu mashahidi wawili tu haina mbwembwe na inalinda mfuko wako hasa ila kama unataka pia kuuza sura unaweza kuandaa sherehe baada ya hapo.
hiyo impediment marriage no. Inapatikana vipi?
 
I

hiyo impediment marriage no. Inapatikana vipi?

Mkeo mtarajiwa ndo lazima awe nayo maana yeye ndo siyo raia so taarifa zake hazipo nchini.

Anaipata kutoka nchini kwao
 
KWani mzee Reginand Abraham Mengi na Kiln walifungia ndoa wapi kweli? Nje ya nchi huko na ilikua bomani huko huko sio kanisani
 
Back
Top Bottom