vdn
Member
- Jul 9, 2016
- 8
- 0
Members mimi huwa najiuliza kwanini wanawake waliofanikiwa kimaisha kwamaana wana pesa za kuendesha maisha yao, wanawake maarufu(aidha kisiasa,kimitindo au kisanaaa) huwa idadi kubwa hawaolewi? Tusaidiane mawazo maana wote tunaishi katika jamii na pasina shaka tunalishuhudia swala hili! Mawazo yenu please!!!