mamsapkhan
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 843
- 267
Jamani nilisahau kuwaambia nilioa mwezi wa kumi na mbili. Nimeona nitulie tu maana hizi papuchi haziishi utamu kadri unavozila ndio unapata hamu zaidi.
Sasa najiuliza ni mwanzo tu au nitegemee suprice uko mbeleni maana hubby umeshakula.Hubby chakula tayari na hilo neno hubby mpaka nilizoee. Ngoja tuone.
Kuna mwenzake kaanIsha thread kule mke anamwambia kuwa jamaa ni sticky hanenepikua uyaone ,naomba kila mwaka mwezi kma huu tuletee annual ripoti,kama haujajaza server ya JF kwa malalamiko suburi ndoa ikishajibu utaanza kuitwa baba fulani,baada ya muda utaitwa mume wangu,then utaitwa kwa jina lako halisi baada ya muda utaitwa majina ya madikteta wote kama hitler,sadam au cha wivu chapombe cha ugomvi sijui kimeo nk now ni kipwa kinyemi
kua uyaone ,naomba kila mwaka mwezi kma huu tuletee annual ripoti,kama haujajaza server ya JF kwa malalamiko suburi ndoa ikishajibu utaanza kuitwa baba fulani,baada ya muda utaitwa mume wangu,then utaitwa kwa jina lako halisi baada ya muda utaitwa majina ya madikteta wote kama hitler,sadam au cha wivu chapombe cha ugomvi sijui kimeo nk now ni kipwa kinyemi
Sio mpaka ya kuhangaikia uwiiiiiii ni raha tu,,,uanze kutuma mpesa ili aje mnakaa siku mbili kila mtu kivyake khaa ya nini hayo weka kitu ndan ni kujipimia tuuu heloooo
Siku izi hata kamwili kameanza kuja..maana siku nyingine nilikua silali kwa ajili ya papuchi....mtu anakuambia anakuja unajiandaa mara anakutumia sms eti amepata dharura alafu ni saa tano usiku hiyo..yaani usingizi hauji kabisaa.
NImempata wa JAMVINI hapa hahahahahaaa ntamu sanaAisee wai..ni raha sana
Jamani nilisahau kuwaambia nilioa mwezi wa kumi na mbili. Nimeona nitulie tu maana hizi papuchi haziishi utamu kadri unavozila ndio unapata hamu zaidi.
Sasa najiuliza ni mwanzo tu au nitegemee suprice uko mbeleni maana hubby umeshakula.Hubby chakula tayari na hilo neno hubby mpaka nilizoee. Ngoja tuone.
Ni raha ila kipindi cha mvurugano huwa hivi.......Hakuna raha kama kulala kila siku usiku na mume,yaan kugeuzwa fasta halaf vitu vya motoo miili inachemka duuu, siri yangu benteke hongera
Ni raha ila kipindi cha mvurugano huwa hivi.......
Ni takriban miaka 4 sasa mkuu bentekeJamani nilisahau kuwaambia nilioa mwezi wa kumi na mbili. Nimeona nitulie tu maana hizi papuchi haziishi utamu kadri unavozila ndio unapata hamu zaidi.
Sasa najiuliza ni mwanzo tu au nitegemee suprice uko mbeleni maana hubby umeshakula.Hubby chakula tayari na hilo neno hubby mpaka nilizoee. Ngoja tuone.
nimecheka sana, amesha badili ID sasaivi analalamika na ID mpya.Kabla ya huyu uliyevutia ndani uliwahi kufuga tu wangapi mkuu?? Naona uzi ni wa kitambo kidogo, Je huna mrejesho au ushamrudishia babake amfunze ilim kidogo?? Si ajabu hana meno ya sebuleni kwa sasa
haaaaaaa eti Papuchi dah wabongo mmenishindaJamani nilisahau kuwaambia nilioa mwezi wa kumi na mbili. Nimeona nitulie tu maana hizi papuchi haziishi utamu kadri unavozila ndio unapata hamu zaidi.
Sasa najiuliza ni mwanzo tu au nitegemee suprice uko mbeleni maana hubby umeshakula.Hubby chakula tayari na hilo neno hubby mpaka nilizoee. Ngoja tuone.
Sasa hivi ni bachelor na ana thread kibao ya malalamiko jinsi alivyoachwa .nimecheka sana, amesha badili ID sasaivi analalamika na ID mpya.
π π π π π π πSasa hivi ni bachelor na ana thread kibao ya malalamiko jinsi alivyoachwa .
Mkuu kabla ya hapo nilishafuga mmoja...ila huyu kwa kweli nashukuru Mungu. Labda mimi tu ndio nampa changamoto za hapa na pale.Kabla ya huyu uliyevutia ndani uliwahi kufuga tu wangapi mkuu?? Naona uzi ni wa kitambo kidogo, Je huna mrejesho au ushamrudishia babake amfunze ilim kidogo?? Si ajabu hana meno ya sebuleni kwa sasa