Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 61,023 Reaction score 36,891 Dec 2, 2024 #1 All d best Sema amen kama umeelewa
mushora JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 406 Reaction score 977 Dec 2, 2024 #2 Ujumbe kwelikweli. Katika kundi la watu kuanzia wawili, lazima awepo kiongozi. Mwenyezi Mungu pia akatoa huo muongozo nani awe juu ya mwenzie. Ila tuepuke kunyanyasa wenzetu kisa sisi ni wanaume, Mungu hapendi.
Ujumbe kwelikweli. Katika kundi la watu kuanzia wawili, lazima awepo kiongozi. Mwenyezi Mungu pia akatoa huo muongozo nani awe juu ya mwenzie. Ila tuepuke kunyanyasa wenzetu kisa sisi ni wanaume, Mungu hapendi.