Ndoa sio tatizo tatizo ni yale ma roho uliotembea nayo kitandani kabla ya kuoa ndio yaanatumaliza at

Kongosho, tunatenda dhambi si ndio?
Mara nyingi hatupendi kutenda tunayotenda lkn tunajikuta tunatenda!

Mfano, unaplan kujiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa; kuna nafsi moja inakuambia usifanye; nyingine inakiambia it is okay coz every body does it!

Hapo kuna roho 2 zinazokushauri, moja ni Holy nyingine ni unclean. Kama hauko na imani sana utaifuata hiyo unclean coz inatoa a lot of facts na mifano hai kibao kuverify huo ushauri wake. Kumbuka Yesu alivyokuwa anajaribiwa alipofunga 40 days!

Haya hujaona kuna watu ambao hata wenyewe wanajishangaa kwanini wanajikuta katika dimbwi fulani, wengine huishia kujiita wana mikosi n.k say mtu hana anachotafuta lkn haishi kumcheat mwenzie, au ni mwizi muite kleptomaniac au nini, it is just not normal!
 
Last edited by a moderator:
Unahitaji uwe mtu wa kiroho zaidi kuelewa anachokisema mkuu hapa....otherwise hongera umeongea vitu vya ndani sana, ni elimu ambayo binadamu wengi hatunayo ndio maana tupo kwenye manyanyaso makubwa...Big up mkuu!
 
i am confused, mi uwa napenda kulala na watoto wa kanisani, wale ambao full injili, full mikesha, sijui uwa nabeba mapepo ya namna gani
 
hamna kitu hapo! science inakataa katu katu. acheni kuamini mambo yasokuwepo.
 
Kaunga, nitakujibu kesho, ngoja kwanza nimdekeze huyu.
 
Last edited by a moderator:

Umenena ukweli,asiye mwamini hawezi kuelewa! Bt kwa jona la yesu tunashinda
 
Watu wangu wanaaangamia kwa kukosa ufahamu
mungu akupe ufahamu kwanza wa kuogopa na kuishinda zinaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…