Ndoa siku hizi haitakiwi izidi miaka miwili, ni wakati wa ndoa za mikataba

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
20,234
47,000
Ebwana wanaJF mzuka!

Ndoa za siku hizi hazina maana kabisa ni sarakasi na kufuata mkumbo tu eti nimeoa na kuolewa. Kwa maoni yangu ndoa inabidi iwe kwa miaka miwili tu. Ikivuka hapo siyo ndoa tena ni maigizo.

Kuna haja gani ya kuishi kwenye ndoa miaka yote hiyo huna furaha. If only walls could talk. Miaka miwili ama chini ya miaka miaka 2 inatosha kwa kupendana baada ya hapo ni talaka. Unafiki kwenye ndoa si mzuri bora uwe singo na kutandaza miti tu.

Ni wakati sasa hivi tuipigie debe ndoa ya mikataba. Ukiona sarakasi na maigizo yanayofanyika kwenye ndoa inahuzunisha sana na inakatisha tamaa.

Jesus help us waja wako!

Nawakilisha
 
aliyekwambia kwenye ndoa mtakaa milele kwa furaha ni nani..haiwezekani some tyme ili kunusuru ndoa inabidi mpeane likizo za lazima...maan kuna mda appetite inapotea mpaka hutaki kusikia hata sauti ya mwenzio...
 
Nadhani ni vizuri urudi kuangalia kwenye kamusi maana ya ndoa ni nini na pia kwenye vitabu vyako vya dini, dhumuni la kuwa na hiyo ndoa ni kujimultiply au kuridhishwa tu if so tafuta sex partner just for that never marry anyone.
 
Ebwana wanaJF Mzuka!

Ndoa za siku hizi hazina maana kabisa ni sarakas na kufuata mkumbo tu et nimeoa na kuolewa. Kwa maoni yangu ndoa inabidi iwe kwa miaka miwili tu. Ikivuka Hapo siyo ndoa tena ni maigizo. Kuna haja gani ya kuish kwenye ndoa miaka yote iyo huna furaha. If only walls could talk. Miaka miwili ama chini ya miaka miaka2 inatosha kwa kupendana baada ya Hapo ni talaka. Unafik kwenye ndoa si mzur bora uwe singo na kutandaza miti tu.

Ni wakati sasa hivi tuipigie debe ndoa ya mikataba. Ukiona sarakas na maigizo yanayofanyika kwenye ndoa inahuzunisha sana na inakatisha tamaa. Jesus help us waja wako!

Nawakilisha
mwishoni umemwomba Yesu akusaidie. huyo Yesu mbona kakataa talaka? ndoa za mikataba ni chukizo mbele ya Mungu
 
Back
Top Bottom