Ndoa nyingi zimevunjika.....inasikitisha!

Ndoa nyingi zimevunjika.....inasikitisha!

pOLENI NDUGU ZANGU! LAKINI HIVI MTU HADI MFUNGE NAYE NDOA SI LAZIMA UMCHUNGUZE SANA IKIWA NI PAMOJA NA KUMUOMBA MUNGU? AU NYIE HUWA MNAFANYAJE? MNAOKOTANA TU VYUONI, KISA MMESOMA DARASA MOJA, MARA KABILA MOJA, MARA KAZI MOJA. POLENI SAAAAANA!
 
wanamaudhi sana wake zetu..hawatumiki,hawaambiliki..wamejisahau....wao ni iPad, TV ,Simu,....baaaasi....yaani hawajali kama kuna mme au nini ingawa mume ndio kila kitu pale nyumbani....hawaeleweki kabisa!!!! inabidi tuishi nao tu kwa mapenzi tu ya mungu !!!! mi nimeshasahau kupikiwa,kufuliwa, kuwekewa maji, kuwa cared for nk..ingawa najitahidi kufanya ninayopaswa kufanya!!!
vumilia tuu...
 
Back
Top Bottom