Youbettersleep
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 944
- 1,628
Ni kweli wanaofaidi kwenye ndoa ni wanawake na sio wanaumeLeo hapa kijiweni NYASAKA CENTER. mzee wetu leo kaja na neno la kutuambia vijana kuhusu NDOA.
Ndoa ni mpango mzuri kwa mwanaume na ni fursa kwa MWANAMKE akiwa na maana ya kwamba Mwanaume ili aoe ni lazima awe amependa na ameamua ila MWANAMKE ili aolewe 99% wanaangalia nini atapata kwenye ndoa hiyo, either famia ya MUME inajiweza au Jamaa anajiweza.
Ndio maana wanawake huwashauri watoto wao wa kike kuwakubalia wanaume wenye NACHO na sio MIKONO MITUPU BOY au wale wa INSHALLAH au BWANA ATATENDA.
MZEE WA KIHAYA AKAMALIZA KWA KUSEMA.
"A reason why the ring is put on the left hand is because marriage is not right"
MWISHO.
Ila wanawake hampendi wanaume wakistukia michezo yenu sijui kwann? Sasa huu uovu ina maana hapa wewe haujaelewa hata kimoja alichosema?Hizi Akili sijui huwa mnazitoa wapi??
Wapo wengi mbona!Ila wanawake hampendi wanaume wakistukia michezo yenu sijui kwann? Sasa huu uovu ina maana hapa wewe haujaelewa hata kimoja alichosema?
Kwamba kuna mwanamke leo hii anaingia kwenye mahusiano kwa dhamira ya kujenga mahusiano na sio kuangalia anapata nini katika huo uhusiano?
Wachache sana hao siku hizi. Na ukikutana na wa hivyo unakuta ana majanga yake ambayo yanamfanya kuonenaka hana vigezo vya kuwa mke wa mtu.Wale ambao mwanamke alimkuta hana kitu akamkubali na wakaanza maisha na wamejipata anawazungumziaje?
Mbona hawa mnawaona ninyi tu sisi wanaume hatuwaoni wanapatikana taifa gani?Wapo wengi mbona!
Labda hapo mjini dar. Tanzania ni kubwa mno boss, tembea kidogo na mikoani huko na vijiji vya Tanganyika uone uhalisia wa maisha.Wachache sana hao siku hizi. Na ukikutana na wa hivyo unakuta ana majanga yake ambayo yanamfanya kuonenaka hana vigezo vya kuwa mke wa mtu.
Aidha ana mtoto au watoto tayari, hana elimu na life lake ni la kuunga unga,anatokea familia ya kipato cha uvunguni,etc
But nadra sana mwanamke mwenye vigezo vyote kujikana awe na mwanaume ambaye ndio kwanza anaanza kujipanga kimaisha.
Hapo buguruni inawezekana. Lakini sasa hii nchi ni kubwa mno boss. Hapo Mwanza tu kuna maeneo wapo mabinti wanachuchumaa kidogo wakisalimia mwanaume.Mbona hawa mnawaona ninyi tu sisi wanaume hatuwaoni wanapatikana taifa gani?
Kuna jamaa yeye sifa yake kuu Kwa mwanamke Ni ngozi ya kuteleza,haangalii trako wala sura!Mbona hawa mnawaona ninyi tu sisi wanaume hatuwaoni wanapatikana taifa gani?
Wapo ukiwaachia 10,000 kwa siku ukirudi jioni unaoshwa hadi miguu kukuondoa uchovu.Kuna jamaa yeye sifa yake kuu Kwa mwanamke Ni ngozi ya kuteleza,haangalii trako wala sura!
Sasa mwanaume kama huyu kukutana na mizinga mizito Ni lazima,na akishapigwa huko anaanza kusema wanawake Namna gani vipi!
Angalia mwanamke ambae una uwezo nae!
Mbona kuna wanawake ukiwapa 20,000 tu kamaliza mahitaji yake!
ndoa ni utapeli kama utapeli mwingine tuLeo hapa kijiweni NYASAKA CENTER. mzee wetu leo kaja na neno la kutuambia vijana kuhusu NDOA.
Ndoa ni mpango mzuri kwa mwanaume na ni fursa kwa MWANAMKE akiwa na maana ya kwamba Mwanaume ili aoe ni lazima awe amependa na ameamua ila MWANAMKE ili aolewe 99% wanaangalia nini atapata kwenye ndoa hiyo, either famia ya MUME inajiweza au Jamaa anajiweza.
Ndio maana wanawake huwashauri watoto wao wa kike kuwakubalia wanaume wenye NACHO na sio MIKONO MITUPU BOY au wale wa INSHALLAH au BWANA ATATENDA.
MZEE WA KIHAYA AKAMALIZA KWA KUSEMA.
"A reason why the ring is put on the left hand is because marriage is not right"
MWISHO.
Na siku huna anakuelewa!Wapo ukiwaachia 10,000 kwa siku ukirudi jioni unaoshwa hadi miguu kukuondoa uchovu.
Vijana wanapaswa kuwa na wenza wenye malengo wanayoyamudu kinyume na hapo ni kupigwa na vitu vizito na vilio vya kataa ndoa hadi kamasi ziwatoke.Na siku huna anakuelewa!
Wasipokusikia Tena basi!!!!Vijana wanapaswa kuwa na wenza wenye malengo wanayoyamudu kinyume na hapo ni kupigwa na vitu vizito na vilio vya kataa ndoa hadi kamasi ziwatoke.
Mtu una kipato cha m1 kwa mwezi unahangaika na binti anawaza kupata mtaji wa kwenda dubai halafu ukishatoboka unasumbua watu na insperational words na mahubiri ya ajabu ajabu.
Na huyo mhaya atakuwa wa kiseke ALeo hapa kijiweni NYASAKA CENTER. mzee wetu leo kaja na neno la kutuambia vijana kuhusu NDOA.
Ndoa ni mpango mzuri kwa mwanaume na ni fursa kwa MWANAMKE akiwa na maana ya kwamba Mwanaume ili aoe ni lazima awe amependa na ameamua ila MWANAMKE ili aolewe 99% wanaangalia nini atapata kwenye ndoa hiyo, either famia ya MUME inajiweza au Jamaa anajiweza.
Ndio maana wanawake huwashauri watoto wao wa kike kuwakubalia wanaume wenye NACHO na sio MIKONO MITUPU BOY au wale wa INSHALLAH au BWANA ATATENDA.
MZEE WA KIHAYA AKAMALIZA KWA KUSEMA.
"A reason why the ring is put on the left hand is because marriage is not right"
MWISHO.