Ndoa ni kusudio la Mungu

Ndoa ni kusudio la Mungu

Gotze Giyani

Senior Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
143
Reaction score
212
Habari za muda wadau kutokana na kampeni za kupinga ndoa ninaona kabisa nitaaribika kisaikologia hivyo ninataka nijitaidi niache kutumia jamii forum ila mnaopinga sijui nini shida maana mnatumia nguvu kubwa na hili ni tatizo kubwa nimeliona kwenye jamii haswa kwa wenye uwezo mkubwa kiuchumi ni hivi hii kampeni naomba muiache kwa ajili ya afya ya akili na ni kinyume na Mungu japo hii yote 50/50 ndio imekuja kuaribu dunia ya leo
 
Mkuu kataa ndoa , kama una mpngo wa kufunga karibuni jifanye ata umezidiwa na ugonjwa ,ukipona mwambie manzi tuishi bila ndoa akizingua piga chini.
 
Habari za muda wadau kutokana na kampeni za kupinga ndoa ninaona kabisa nitaaribika kisaikologia hivyo ninataka nijitaidi niache kutumia jamii forum ila mnaopinga sijui nini shida maana mnatumia nguvu kubwa na hili ni tatizo kubwa nimeliona kwenye jamii haswa kwa wenye uwezo mkubwa kiuchumi ni hivi hii kampeni naomba muiache kwa ajili ya afya ya akili na ni kinyume na Mungu japo hii yote 50/50 ndio imekuja kuaribu dunia ya leo
Kusudi la nyoko.

Olewa mwenyewe.
 
Habari za muda wadau kutokana na kampeni za kupinga ndoa ninaona kabisa nitaaribika kisaikologia hivyo ninataka nijitaidi niache kutumia jamii forum ila mnaopinga sijui nini shida maana mnatumia nguvu kubwa na hili ni tatizo kubwa nimeliona kwenye jamii haswa kwa wenye uwezo mkubwa kiuchumi ni hivi hii kampeni naomba muiache kwa ajili ya afya ya akili na ni kinyume na Mungu japo hii yote 50/50 ndio imekuja kuaribu dunia ya leo
Sawa Ndoa ni Taasisi ya Kwanza alioianzisha Mungu mwenyewe pale Eden lakini nikwambie tu kwamba siku zote Taasisi ni Chombo cha UPIGAJI tu kama FIFA na RC

Pole/Samahani.
 
Kinachofanya ndoa ionekane ngumu ni kuingia kwenye ndoa bila malengo
 
Habari za muda wadau kutokana na kampeni za kupinga ndoa ninaona kabisa nitaaribika kisaikologia hivyo ninataka nijitaidi niache kutumia jamii forum ila mnaopinga sijui nini shida maana mnatumia nguvu kubwa na hili ni tatizo kubwa nimeliona kwenye jamii haswa kwa wenye uwezo mkubwa kiuchumi ni hivi hii kampeni naomba muiache kwa ajili ya afya ya akili na ni kinyume na Mungu japo hii yote 50/50 ndio imekuja kuaribu dunia ya leo
Mungu aliweka sheria zake kuhusu ndoa sasa hazifuatwi inadaiwa ni ukandamizaji wa kijinsia!! Sasa kuna haja ya kuoa wakati mazingira ya ndoa yamekwisha haribiwa, tendo la ndoa imekuwa biashara ingawa sheria zipo wazi Prostitution ni kosa la jinai lakini hakamatwi mtu, HATUPINGI NDOA ILA MAZINGIRA YA NDOA YAMEVUNJWA HAYAPO.
 
Back
Top Bottom