REALESTATE
Member
- Jan 28, 2024
- 52
- 82
unaofanywa na wanaume ni nini mkuu?Paternity fraud is so rampat now days, na bahati mbaya sana sheria zenu za kibongo mlizocopy kutoka huko kwa wazungu hazitambui aina hii ya uhalifu.
Imagine mpaka mwanamke anakuwa na ujasiri wa kupiga simu na kuongea adharani kwenye media kwamba amezaa na Ex-boyfriend wake huku akiwa ndani ya ndoa, hii inaonesha tuna jamii iliyooza inayolea kila aina ya upuuzi unaofanywa na wanawake.
Sitakuja kuoa kudadekiNimepita kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na hii... Aiseh ni ganzi. Ni tamaa, mapenzi au kujienekeza.
Mwanamke yupo kwenye ndoa lakini akarudiana na EX wake na wakazaa hadi mtoto
Wanawake mnapenda sana heka heka, hayanaga muongozo...
You're so lucky...Doooh aiseee! Ndoa ni mtihani mkubwa ambao wengine tumeufaulu kiasi kikubwa tuna enjoy
Hawa wana ushetaniWanawake wote wako hivyo, hata wanaoenda Makanisan
Umma umeozaPaternity fraud is so rampat now days, na bahati mbaya sana sheria zenu za kibongo mlizocopy kutoka huko kwa wazungu hazitambui aina hii ya uhalifu.
Imagine mpaka mwanamke anakuwa na ujasiri wa kupiga simu na kuongea adharani kwenye media kwamba amezaa na Ex-boyfriend wake huku akiwa ndani ya ndoa, hii inaonesha tuna jamii iliyooza inayolea kila aina ya upuuzi unaofanywa na wanawake.
Umenisoma comment yangu huku ukiwa na mindset ya ME VS KE... inavyoonekana unapenda sana hii pyschological gender war iliyoshamiri nyakati hizi eti ehee? Ndio maana umeshindwa hata kucomment kuhusu kiini cha mada(utapeli wa uzazi) na umekimbilia kwenye kitu ambacho ni minor.unaofanywa na wanaume ni nini mkuu?
Jamii kwa ujumla imeoza na wanayoifanya ioze ni pamoja na kipindi kama hicho cha dadazUmma umeoza
Minor true lakini umeanza vizuri juu ukamalizia na hoja ya ke pekeyake ndomana nikakukumbusha na me pia,ila sio mbaya nimtazamo wako wala me sipendi ligi hivyo ushindi nakuachiaUmenisoma comment yangu huku ukiwa na mindset ya ME VS KE... inavyoonekana unapenda sana hii pyschological gender war iliyoshamiri nyakati hizi eti ehee? Ndio maana umeshindwa hata kucomment kuhusu kiini cha mada(utapeli wa uzazi) na umekimbilia kwenye kitu ambacho ni minor.
❤️Hi soulmate!Ndoa haziheshimiwa hawa vijana wasioamini Mungu.
🤣🤣Wee, sema kweli?!🤭Doooh aiseee! Ndoa ni mtihani mkubwa ambao wengine tumeufaulu kiasi kikubwa tuna enjoy