tumeaambiwa tusihukumu tusije hukumiwa. Ila kubali usikubali ni kosa la la wazazi na jamii kwa huyo binti. Uliza wengi wenu mnavyopata stress ukitimiza miaka 25 bila kuchumbiwa.
Sasa ukitaka kuangalia huyu bint kwa nini alikubali ndoa wakati jamaa hampendi ,yaan ni huruma harusi ya kifahar,na imekost 25 million ,kampotezea tu muda
Nimesoma mara ya kwanza sijaelewa...ikabidi nione comment za wenzangu kwanza labda ntapata point...nimerudia tena zaidi ya mara tatu sijaelewa nisije nikapasuka kichwa bure ngoja nipite hivi....
Sasa ukitaka kuangalia huyu bint kwa nini alikubali ndoa wakati jamaa hampendi ,yaan ni huruma harusi ya kifahar,na imekost 25 million ,kampotezea tu muda
Acha tu hayajakukuta bibie. Wewe unampenda kidumu (ameoa) lakini wazazi wako wanakung'ang'aniza utafute kijana ufunge ndoa. Si ajabu walimtafutia akakubali kuliwa k ya siku hizo tatu kwa gharama ya 25M akasepa kwa moyo uliomdondokea. Wa kulaumiwa ni Wazazi hapo
Nimesoma mara ya kwanza sijaelewa...ikabidi nione comment za wenzangu kwanza labda ntapata point...nimerudia tena zaidi ya mara tatu sijaelewa nisije nikapasuka kichwa bure ngoja nipite hivi....
Ifike wakati tuheshimi mawazo ya mtu, maadamu hajatoa mtu Roho hakuna tatizo. Maana mambo ya mapenzi ktk nchi nyingi za kiafrika na "Ulozi" inatumika. Labda "Kidumu" kimemwedea kwa BABU hajui alifanyalo.