Ndoa na wadada wa kisomali kushamiri, kunani?

Ndoa na wadada wa kisomali kushamiri, kunani?

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
6,552
Reaction score
9,056
Halikuwa jambo la kawaida sana huko nyuma. Ndani ya miezi miwili nimepokea kadi za harusi 6, kilichonishangaza 4 kati ya hizo ni wadada wa kisomali, moja made in Syria na moja nyingine ndiyo ya dada zetu wa kibongo.

Pia mbali ya hizi kadi, nimeshuhudia hizi ndoa za "cross-border" zikipanda chati sana siku za hivi karibuni hasa zikuhusisha vijana wa kibongo na dada zetu wa kisomali, syria nk.

Nikajiuliza, hivi ndio soko la dada zetu wa kibongo limekwisha au kuna tatizo gani hapa? Au hamjitumi uwanjani?
 
Hao wanawake jamii za kisomali na waarab, ni watu wavivu ajab... Wao kazi yao kujifungia ndani na kujipaka ina, sasa hizo swaga mimi mchaga siwez..
Hiyo ndio kazi yao na nyingine kubwa ni kumuhudumia mume na mume akiomba chochote anapata mpk 0713 sio kama hawa wa kwetu wachooyo utafikiri walizinunua
 
adc89ce37750f7dae2af087fa36aad39.jpg
 
Back
Top Bottom