Ndoa ni wewe mwenyewe ukitaka iwe chungu itakua, ukitaka iwe tamu itakua, ukitaka iwe moto itakua, ukitaka ya furaha itakua.....
Maneno ya watu sio ya kuogopa kuwa ndoa ni mbaya ila pia sio ya kuyapuuzia
Na kumbuka unaeingia nae ndoani ni binadamu sio malaika ana mapungufu yake kama wewe ulivo na mapungufu yako