housegirl
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 3,125
- 2,194
Akipata ngoma anayoitafuta atatulia
Na mke wake asiye na hatia aathirike.
wanawake wanaoamini "aliyeunganisha mungu binadamu asitenganishe" nawaonea huruma sana. We Ujue tu ndo maisha yako duniani yatakavyokuwa, thawabu isubiri mbinguni.
Kwanza msingi wa talaka kwenye dini nyingi ni uzinzi.
Kuna vitu vya kuvumilia sio kupigwa na uzinzi. Hata watoto mnawa Affect. Me nakumbuka incident imetokea nina miaka Sita! Leo nikikumbuka namchukia sana baba.
Pole yake huyo dada. Me namshauri aondoke. Watoto sio shida. Watapeana zamu kushinda nao.