CPA umeacha siasaMpige pumbu kisawasawa apunguze kelele. Itakuwa unampapasa
Nawewe ningumu kuacha kuangalia neema za dunia hii?Siwezi kutoka nae kwasababu ninakuwa sinaamani. Kwasababu hataki uangalie mwanamke yeyote.
.
Hujitambui ndiyo maana baby mama wako anakuchezea akili kama mtotoKuna mwanaume asiyechepuka.
Akipiga kelele kamata mchape nao 🍆atatuliaNdoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .
Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .
Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.
Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.
Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
hapa hautapata majibu unayotakaNdoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .
Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .
Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.
Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.
Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Duuu utadhani wewe ni mimi kabisa .nami ni copyright na wewePole sana. Ndoa imekuwa jehanamu kwa wengi, ila na wewe tayari umekubaliana na hali, mkeo kashakusoma madhaifu yako na kubadilisha hio kitu inahitaji wewe mwenyewe ubadilike ndo na yeye afuate. Sijui nini chanzo ila kama unataka amani inabidi uianzishe wewe, only you can change it, jifanye mjinga kW muda, usimkaripie wala kumjibu huo ndo uanamme sio kukimbia na kulialia. Kutafta mwanamke mwingine utazingua, kama mmedumu toka 2008 means mnajuana vizuri, work it through bro.
Kivipi?Duuu utadhani wewe ni mimi kabisa .nami ni copyright na wewe
Ukirudi home uzoee kupitia mlango wa nyuma ili asiendelee kukusumbua!Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .
Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .
Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.
Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.
Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Unazingua..Jaribu kuelewa 2008 tulikuwa wanafunzi tumeoana 2018
Washauri wa ndoa 😂😂😂😂Pole sana kaka, unamlomba vizuri kweli? Ukiwa unampiga miti papuchi inatoa harufu ya mishkaki inayoungua? Kama sivyo basi jitathimini
Again fanya hivi, tafuta milioni 3 na nusu, tafuta kijana baro baro amtongoze na awe anamuhonga hizo hela utakazompatia jamaa kama nyenzo mama ya kazi, matokeo yake ni wazi kabisa Jamaa atamlomba mkeo na atakupa ushahidi, ukishapata huo ushahidi tumia hiyo njia kuachana na mkeo, baada ya hapo usioe tafuta kabinti kazuri uwe unakapiga paipu tuu, naweza kukusaidia kukulombea mke wako ili utufumanie upate kigezo cha kumuacha, pole sana ndugu mlipa kodi
Hakika mkuuNawewe ningumu kuacha kuangalia neema za dunia hii?
Kifupi mwanamke mwenye wivu uliopitiliza hao huenda kuishia kua single mother.
Kuna namna isivyo wezekana kuyaepuka mazingira labda uwe uko juu kiroho.
Sina mazoea na huyu msimbe zaidi ya salamu tu.Acha kumpa attention huyo msimbe anazostahili mke wako. Weka mipaka usijibebishe mkuu. Mke amenusa hatari anajua utamla tu.
HaaaaaahaaaSio sana ila ameanza kugundulika
Asante mkuu kwa ushauriBro nataka nikupe mwongozo bila kukuficha , ni hivi ke wa aina hyo siri ni moja tu.
Nenda gym, ukitoka kazi tamthilia achana nazo moja kwa moja kainue chuma, kula vizuri kabisa ,maji kwa wingi nimekupa miezi mitatu miraba ikaze vizuri . Muda huo ww poa tu kwa nyumba , usiwe msema mengi akija juu tulia tu .
Misuli ikishakaza mpaka kundule mechi fyeka, tena fyeka kweli , usijali majirani wanasikia au kitanda kitavunjika piga tu , isiwe kesi watoto wapeleke vacation kwa babu zao washinde kule .
Mke wa namna hii ukiimpa shughuli bila huruma , ata akimbie ni juu unaremjesha kitandani fimbo tu .
Ata kimya maisha yake yote , chenga zake huisha kabisa .
Miezi minne ijayo nipe mrejesho . Isipokwenda nnavyokwambia niite mbwa , npo hapa nyuma ya KFC mbezi , njoo gonga geti niite Mchopa ww ni mbwa. Nawasilisha.