Wasanii kwani wana heshima??Ndoaa na hieshimiwe na watu wote
Ndio tena ndoa takatifu ya kanisani. Pia ni mume mwaminifu. Hata nikifa Leo sitaacha wajane sita wala watoto kumi na moja
Hao ni official, ukiachana na wale wa UDOM aliokuwa akipiga nao picha za madenda nje njekwani jamaa yako yule wa nyasa ameacha wajane 6....?
Wasanii kwani wana heshima??
Hao ni wasanii, kitaaluma na kikazi na si waongowaongo ninaowamaanisha kwenye huu uziWapooo baadhi wenye heshimaaa
Hao ni wasanii, kitaaluma na kikazi na si waongowaongo ninaowamaanisha kwenye huu uzi
wewe Bujibuji jamani usijempa mume wangu presha na kisukari buree!!!
sosoliso nae akifa ataacha mitoto ya kumwaga, wajane lukuki, yaani wee jiandae tu na kupigwa na butwaa.