Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Wakati mwingine maisha ya ndoa hayaitaji usanii hata kidogo maana ndoa ukicheza nayo lazima ikupwelepwete tuu.Kabla ya kuamua kuishi na mtu tafakari na ujiulize hivi niko tayari kupambana na changamoto zake usiwaze harusi tuu na kujaza watu ukumbini.Kikubwa mwamini na kumtegemea Mungu kwanza maana kwa akili zako huwezi.