Ndoa haiji haiji ghafla

Ndoa haiji haiji ghafla

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,306
Reaction score
3,413
Ndo kwanza mna wiki 8 unaanza kumuuliza maswali kibao,ooh utanioa lini,lini unakuja kumuona mama..Mamako mwenyewe alisubiri Posa miaka 6 kutoka kwa babako,tena kwa heshima zote kwa kuvaa sketi za vitenge na kaniki ndefu hadi chini,we unaulizia ndoa kutwa unavaa vibwaya na sketi fupi huku umebetua nyonyo nje muda wote kama unanyonyesha makuruta wa JKT halafu unataka ndoa..Haraka za nini kama unadoea Pilau ya Hitima kwa jirani,Tulia,Ndoa haiombwi na haiji ghafla kama Kifafa cha Mimba,Mwanaume ukimsuuza roho yake ataomba mwenyewe kuja kwa wazazi..Invest kugusa moyo wake na sio kuomba pete kama unaagiza wali kwa mamantilie!-kwa hisani ya watu wa rufiji.
 
Ndo kwanza mna wiki 8 unaanza kumuuliza maswali kibao,ooh utanioa lini,lini unakuja kumuona mama..Mamako mwenyewe alisubiri Posa miaka 6 kutoka kwa babako,tena kwa heshima zote kwa kuvaa sketi za vitenge na kaniki ndefu hadi chini,we unaulizia ndoa kutwa unavaa vibwaya na sketi fupi huku umebetua nyonyo nje muda wote kama unanyonyesha makuruta wa JKT halafu unataka ndoa..Haraka za nini kama unadoea Pilau ya Hitima kwa jirani,Tulia,Ndoa haiombwi na haiji ghafla kama Kifafa cha Mimba,Mwanaume ukimsuuza roho yake ataomba mwenyewe kuja kwa wazazi..Invest kugusa moyo wake na sio kuomba pete kama unaagiza wali kwa mamantilie!-kwa hisani ya watu wa rufiji.

Hahhahahaha, ebu shika adab yako kwanza mdengereko, usijifanye mjuaji kuhusu ndoa eboo.
Muambie mwenyewe yote hayo, ili ajue aende kushoto ama kulia ili hali usimpoteze muda mwana wa watu na kumuaribu.
Jaribu kumuambia siku moja asubiri miaka 6, uone kitakachotokea, utakuja na stupid case siku ingine hapa JF, ooh kaolewa na mwingine, ooh madem sio wa kuwamini, ooh kuna mtu katia fitna, ooh alitaka kukuchezea, kumbe umejichezea na umejiroga mwenyewe.

KUSUHUZA MOYO
Yaonesha unataka kujiuza na pesa kujilipia, chezea wanawake wanaopenda kusuhuza mioyo ya wanaume ili waolewe wewe.
MAVAZI
Vazi la kitamadunu la kitanzania ni kibwaya, maziwa nje, ------ nje, no problem for them.
Au unataka wale wanaovaa burka na kujifungia ndani mchana, ila usiku ukifika wanavua na kuvaa vipensi kwenda kujiuza sinza?
You dont know anything about life or marrige. Jifunze life kwanza
 
Hahhahahaha, ebu shika adab yako kwanza mdengereko, usijifanye mjuaji kuhusu ndoa eboo.
Muambie mwenyewe yote hayo, ili ajue aende kushoto ama kulia ili hali usimpoteze muda mwana wa watu na kumuaribu.
Jaribu kumuambia siku moja asubiri miaka 6, uone kitakachotokea, utakuja na stupid case siku ingine hapa JF, ooh kaolewa na mwingine, ooh madem sio wa kuwamini, ooh kuna mtu katia fitna, ooh alitaka kukuchezea, kumbe umejichezea na umejiroga mwenyewe.

KUSUHUZA MOYO
Yaonesha unataka kujiuza na pesa kujilipia, chezea wanawake wanaopenda kusuhuza mioyo ya wanaume ili waolewe wewe.
MAVAZI
Vazi la kitamadunu la kitanzania ni kibwaya, maziwa nje, ------ nje, no problem for them.
Au unataka wale wanaovaa burka na kujifungia ndani mchana, ila usiku ukifika wanavua na kuvaa vipensi kwenda kujiuza sinza?
You dont know anything about life or marrige. Jifunze life kwanza
duh inaonesha wewe unanijua mimi sana.
 
Ukiona mwenzako anataka haraka haraka, jua kuna jambo na shtuka kabisa. Ni vyema uvunje uchumba kuliko kuvunja ndoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom