Kama mtu umeitwa sehemu zote zilizoita interview bora usiende maana tayari una mkosi mpaka hapo.
Hawa utumishi wangeweka ratiba tofauti ya interview sababu siku moja kuna interview ya nssf, magereza, TAA, na wakala wa vipimo, na wafanyaji wa interview ni watu wale wale wanajirudia, ushauri siku nyingine mpeane mda.
Kama mtu umeitwa sehemu zote zilizoita interview bora usiende maana tayari una mkosi mpaka hapo.