Ndiyo mzee: Slogan mpya CHADEMA

Unapokua na wananchama ambao wao kazi yao ni kufuta mkumbo ni tabu kweli, yani wao kila ktu wataitikia tu hata ukiwaambia nini. Ndio maana walishangilia walipoambiwa kuwa mbakaji atafunguliwa. Wakashangilia hata walipoambiwa marehemu atafufuliwa. Yani wao waambie hata nini watakubali. Huu si undorobo
 

Nani mbakaji?
Nani aliyekufa?.
Hebu wataje uone majibu ya wananchi.
 

Utakuwa na asili ya unene.................
 
Magufuli alijiuzia nyumba akamuuzia na hawara yake... Ndioo mzeeeeee!
 
Viongozi wao ni madikteta na wanachama wake ni vipofu, hawaoni yatendekayo. Elimika Mtanzania, chagua CCM kwa maendeleo ya kweli ya nchi yako
 
Watanzania Tutampa kura zote lowasa
... ndio mzee.

Safari hii hatudanganyiki na ccm
.........ndio mzeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…