Ndio tumefika, mahali hapa!

Ndio maana nasema hiki wanachokiona leo hii, ni mavuno ya kile walichokipanda.

Na ukiangalia vizuri, hii movie ya kuzolota kwa zoezi la uandikishaji, kwenye hivyo vituo vyao.....unaona kabisa, hakuna chama chochote kile kinachoratibu hili.
Sasa naona huko walipo, wanaumiza kichwa kumtafuta mchawi wa hili....!!

Sasa hapa ndio wajifunze, kwamba watanzania wa leo sio wale wa 80's....na kadili siku zinavyokwenda, ndivyo na watanzania wanazidi kubadilika kifikra. Hivyo itafika mahali, watajikuta wanakosa hata hawa wapuuzi wachache, waliowakamata vichwa leo hii!

So waache kutafuta wachawi, wachawi ni wao wenyewe!
Mmbado!!!Upinzani ni uadui, kushangilia ujinga ndio uzalendo!!! Watu wanafanya kampeni huku wengine wamezuiliwa!!! Domokrasia
 
Nakuwa na wasiwasi na vitu Kama hivi kwani ni uthibitisho mwepesi huu mpk nitoe povu hapa.
 
Hapa kuna funzo kubwa sana la kujifunza demokrasia ya kweli wala haitaki kutumia mabavu ni kufuata taratibu mambo yanaenda yenyewe
Exactly.

Haya wanayoyafanya, kamwe hayawezi kuwasaidia. Maana ipo siku isiyo na jina, sarafu itapinduka....

"...hatunaga mtu wa milele daima, ila tuna tukio la milele daima..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…