Mbn unampa laana ndogo huyu na wivu wake. Busara za babu hizo
Hahahaha.... we ni muzee ya kutafuta sababu;
Sababu ya leo............kujadili busara za babu Asprin
Location............. JJ Bar Sinza
Wahudhiaji........Wapwa na Wajukuu wa babu
Vinywaji.........Bia, Valuu na Konyagi.
Duration........... Kuanzia saa kumi mpaka muda wa kushiriki chakula na familia
Mgani Rasmi............DaMie
Wooooote mnakaribishwa kujongea meza ya babu.
Nilishangaa ulipo mfagilia eti ana busara, mwenye busara anataka mtu apate minyoo ya nguruwe?
Umewahi iona minyoo ya nguruwe ilivyo?
aisee FIDEL hapo juu.......................!
Naona tayari umeniondoa kwenye list
Loveness..huoni kuwa unahatarisha nanihii yako kwa kuingia PM na Babu?....Tuulize wakongwe hapa tukupe siri kuwa FirstLady1 anapeleka posa mahali ili babu apate mke wa 8!...stuka Loveness...Mi niko single maana nimedivorce aliyekuwa mke wa 4 mwaka jana!
Bravo Asprin,,u deserve it
PJ Nisamehe tupo pamoja, lakini busara za babu zimenigusa.
Post zako zinanifurahisha saana
Post zako zina busara saana
Natamani brain yako iwe yangu.
Yote haya ni post za wewe tu.
Big Up Kijana. Opps Babu.
Na wewe ulikuwa wapi muda wote, ndo unaibuka saizi?
Nguli kuuuuuubwa zitakuwepo mkuu mm ndo nalatibu kamati ya vinywaji
Post zako zinanifurahisha saana
Post zako zina busara saana
Natamani brain yako iwe yangu.
Yote haya ni post za wewe tu.
Big Up Kijana. Opps Babu.
Sikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol
Ahsante my love loveness love.
Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!
Mkuu, hapo umenipatia kweli kweli..................check signature yangu fasta.Laiti ungejua nilivovimba mbichwa...lol
Unaweza kunipata kwenye PM pia.
Nashukuru sana DaMie..... Babu yangu alinambia ni heri umfurahishe mtu kwa maneno matamu kuliko kwa pesa nyingi....kwa sababu pesa yaweza kuisha, lakini maneno huwa hayaishi.
Dah! kumbe tuko wengi!!
Big up Kaka Asprin.
Post zako zinanifurahisha saana
Post zako zina busara saana
Natamani brain yako iwe yangu.
Yote haya ni post za wewe tu.
Big Up Kijana. Opps Babu.