mzee wa wazee
Member
- Nov 1, 2010
- 70
- 18
Magafu huyu jamaa kasema mwananchi ya tarehe 7 na si 3 kama ulivyo quote hapo juu. Sorry he might have the pointDuhh! sidhani kama kweli huyu jamaa aliyeanzisha hii post yuko makini. Mabomu wamepigwa tarehe 5 then gazeti la mwananchi la tarehe 3 liandike habari hii ya maneno ya Ndesamburo!!!! Please, verify????