masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Ndo wapinzani hao, mzee kapanda chopper uzeeni haachi kushangaa.kwa nn na yeye asistaafu ubunge? Kwa uzee wake huo? mnafiki2.
Wakipewa nchi sijui itakuwaje?
CDM mstaafisheni huyo ale pensheni, hata mawazo ni ya kizee.