Ndege zote zinazotua uwanja wa ndege wa Mwanza zimezuiwa leo

Ukiona hata majengo ya hiyo inayoitwa airport wala hutashangaa kuona haina umeme. Uwanja muhimu kama huo umejaa vibanda kama vya kina mama ntilie. Aibu.
 
Ukiona hata majengo ya hiyo inayoitwa airport wala hutashangaa kuona haina umeme. Uwanja muhimu kama huo umejaa vibanda kama vya kina mama ntilie. Aibu.

Mkuu hii habari ya SIA hebu tuiache kwanza, tushughulikie ile taarifa uliyojiapiza juzi kwamba Dr. Amerudisha vitendea kazi vya CHADEMA! Hivi kweli ilikuwaje?
 
Generator mbovu? Hasara kabisa funga solar za kutoa kutoa umeme wa kutosha kila kituo cha kutua/kupaa ndege
 
Watanzania wanataka kujuwa kuhusu Slaa, Lowassa na Matokeo ya kura za maoni za ccm, nchi haina umeme hawana habari, ahahahahhahahahahaa, na waandishi wa habari wala hawana habari, wao habari za maana kwao ni mushumbusi, daah, OOHOOOH MY COUNTRY!!
 
Nakumbuka toka miaka ya 1984 habari ya kutua ndege usiku mwanza imekuwa ndoto ,hivi mpaka Leo mamlaka husika imeshindwa kutatua tatizo?kweli viongozi wapo likizo ya muda usiojulikana

Umenikumbusha mbali sana. Kweli miaka ya 1980 tatizo la umeme katika uwanja wa Mwanza lilikuwa linazungumzwa sana ndani ya vyombo vya habari na katika jamii kwa ujumla na ahadi nyingi zilitolewa wakati huo. Sasa inasikitisha kuona hali n ileile ya miaka ya 80.
 
Kwa kweli ni shida hata airlines zetu ni tatizo. Yaani wanashindwa kupiga simu kuwajulisha wateja kuwa wameshift ndege zao za usiku mpaka kesho asubuhi wanarelay kwenye email.... weekend emails kuna wengine wanachoshwa na kazi weekendz hawataki kusikia emails kabisa.
 
haha Tanesco wamejibu kwa ukali kuwa kuna tatio kwenye mfumo wao wa kutoa umeme mikoa ya kanda hiyoo,lakini mabadiliko ni muhimu piga ua 2015 octoba lala chaliiii
 
Back
Top Bottom