Mchukue tahadhali nyie mnaokwenda huko kiwanjani kusherekea muungano kwani hizi ndege ni za zamani na huko nyuma ziliwahi kuanguka na kuua marubani kwenye maonesho ya sikukuu kama hiyo!!
Ni ndege za jeshi jeshi letu za zamani sana! Zinafanya mazoezi kwa ajili ya sherehe za kitafa zinazokuja. Ndege kama hizo wenzetu walitumia miaka ileee ya hamsini kweusii...ni moja ya silaha chache tulizonazo na ambazo tunadanganywa kuwa jeshi letu ni la kisasa...
Ni vindege vya kizaman vya kivita vya kichina vinaitwa j10 ndio vinapita pita kutishia chadema ilimradi jk avute cku
mchukue tahadhali nyie mnaokwenda huko kiwanjani kusherekea muungano kwani hizi ndege ni za zamani na huko nyuma ziliwahi kuanguka na kuua marubani kwenye maonesho ya sikukuu kama hiyo!!
Leo nimeona zimepita tano zimechoka hizo! Spidi hata mia haifiki ikabidi nijifiche visije niangukia bure mie