Agustino Regnald
JF-Expert Member
- Aug 15, 2016
- 501
- 428
We unalo lako jambo sio bure
Nikiangalia picha ya juu na ya chini, tumerudi nyuma hatua 1,000
Huyo Twiga kama anajisaidia vle
Huyo Twiga ni wa mwendokasi
Twiga lazima wawe tofauti kwani hata ndege zenyewe ni tofauti. twiga mwenye afya yupo kwenye ndege iliyoshiba.mimi swali langu moja tu hivi huyu aliye mchora huyu twiga ni nani jamani kama kabemendwa mungu ana muona haya tu
mchoraji wa zile za zamani alikua anajua kuliko wa sasa..?
mchoraji sio fair sema poa tu na sipandiiiiiiii
View attachment 406534
View attachment 406535
nina hakika darasani ulikuwa unapata sifuri kabisa na ata kukopi ubaoni ulikuwa unashindwa au wewe ni kipofu?mimi swali langu moja tu hivi huyu aliye mchora huyu twiga ni nani jamani kama kabemendwa mungu ana muona haya tu
mchoraji wa zile za zamani alikua anajua kuliko wa sasa..?
mchoraji sio fair sema poa tu na sipandiiiiiiii
View attachment 406534
View attachment 406535
Inasikitisha.Nikiangalia picha ya juu na ya chini, tumerudi nyuma hatua 1,000