tuwe serious je kuna mtu atujulishe kuhusu habari hiyo pili nimepata taarifa mataka karudi tena atcl kulikoni wakati nilipata taarifa nafasi yake imechukuliwa na mtu anaitwa wiliam haji kulikoni mwenye taarifa atujulishe, niliambiwa wiliam alikuwa amelimudu shirika
lazima mzigo wa masha huu sio kabisaAu ndege ilikuwa na maboksi ya kuchakachulia kura...teh teheeeee
Au ndege ilikuwa na maboksi ya kuchakachulia kura...teh teheeeee
Hayo ni maandalizi ya "KUTANGAZA" matokeo ya uchaguzi! Ukipita hata Lugalo Barracks kuna "DRILL" kali sana inaendelea, hata kule Kunduchi nimeona RECRUIT wakiendelea na mazoezi ya kufa mtu!
Kuna police wengi wapya (uniform at least ni mpya) wameletwa kwenye vituo vyote vya police Mkoa wa Dar es Salaam!