‘Ndege Ya Wachawi’ yaanguka Newala

‘Ndege Ya Wachawi’ yaanguka Newala

Akatubu lakini
Watanzania hamna tukiwezacho Ila ushirikina Na uchawi. Taifa hili linejengwa kwenye misingi ya matambiko, mazindiko, makafara Na ibada za sanamu ikiwemo ibada za mwenge. Vyote hivi ni machukizo mbele ya Mungu aliye hai.
Tusipotubu, hatutatoboa kamwe
 
Mamlaka husika zimepewa taarifa ili kutafuta Black box wafanye uchunguzi kubaini chanzo cha ajali?
By then hii ndo ajari ya Ndege ya kwanza isiyokuwa na Majeruhi wala Vifo!!!!
 
Habari wanazozipenda watz ndo kama hizo.Hazina maendeleo yoyote zaidi ya ujinga tu.
Tatizo hakuna michongo! So watu kibao wapo 'idle' linalotokea hata mtoto akijinyea barabarani ni habari tena "breaking news"
 
Mshana jr njoo ututhibitishe kua ndicho chenyewe au watu wanatafuta attention, sijui pangamboi hiyo au boing
 
Hayo ni majaribio ya falcon 9 kabla ya propulsion to the mars
 
Duh.! asalaleee... Imekata Tire rod end,ikabidi washuke wakanunue hiyo spea...ndio wakaonekana

..kwa MUJIBU wa taarifa ya mwenyekiti wa eneo hilo...."kufikia Jana jioni wahusika walikuwa wamesharudishiwa usafiri wao na kuendelea na safari..'
 
😀😀😀Inafanya uchunguzi wa njia za maandamano kwa waandamanaji😀😀😀
 
Mkuu,hyo ni bombardier ilizidiwa na uzito wa abiria na mizigo!
 
Kwahiyo siku hizi utaalamu umeongezeka mpaka wanarusha chombo kisichokuwa na rubani,sasa watatumaliza hawa...!!
 
Back
Top Bottom