Ndege ya Shirika la Usafiri wa anga la Eastern China imetua kwa dharura

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
8,130
8,330
China Eastern flight lands safely in Sydney with hole torn in engine

Ndege ya Shirika la Usafiri wa anga la Eastern China imetua kwa dharura mjini Sydney baada ya kutokea matatizo katika mfumo wake wa engine.
Ndege hyo aina ya Airbus A 330-200 (Siyo Bombadier) ilikua ikitokea Sydney kwenda Shanghai ililazimika kurudi na kutua kwa dharura kwenye uwanja ilipotoka.

Picha za ndege hyo zinaonyesha tundu kubwa kwenye moja ya injini za ndege hyo.
Abiria wote wametua salama.
 
Kweli sio bombadier la sivyo saa hii tungelikuwa tunasema mengine hapa. Ati itue kwa dharura JNIA au KIA. Nani apone?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…