TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,718
- 10,214
Shirika la Saudi Arabia limesema moja ya ndege zake aina ya Airbus A330 ilihusika katika "ajali" baada ya video kuionyesha ikiwa moto kwenye lami katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum wakati wa mapigano."
Saudia imesema katika taarifa yake leo Jumamosi kwamba, safari zake zote za ndege zilisitishwa baada ya tukio hilo. Haikufafanua sababu ya "ajali" hiyo ingawa ilionekana ndege hiyo ilinaswa katika mapigano ya Vikosi vya Msaada wa Haraka na wanajeshi wa Sudan wakipigana kuzunguka uwanja wa ndege.
Ndege nyingine pia ilionekana kushika moto katika shambulio hilo.
Tovuti ya ufuatiliaji wa ndege ya FlightRadar24 iliitambua kama SkyUp Airlines B737.
Saudia imesema katika taarifa yake leo Jumamosi kwamba, safari zake zote za ndege zilisitishwa baada ya tukio hilo. Haikufafanua sababu ya "ajali" hiyo ingawa ilionekana ndege hiyo ilinaswa katika mapigano ya Vikosi vya Msaada wa Haraka na wanajeshi wa Sudan wakipigana kuzunguka uwanja wa ndege.
Ndege nyingine pia ilionekana kushika moto katika shambulio hilo.
Tovuti ya ufuatiliaji wa ndege ya FlightRadar24 iliitambua kama SkyUp Airlines B737.
Sudan's army and rival force battle, killing at least 56
Sudan’s military and a powerful paramilitary force battled fiercely in the capital and other areas, dealing a new blow to hopes for a transition to democracy and raising fears of a wider conflict
abcnews.go.com