Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Hii ni moja kati ya Zile ndege alizozinunua hayati Rais wetu Dkt JPM enzi za uhai wake akiwa madarakani.
Sasa leo hii ndege hii itatua nchini tayari kwa kuanza kazi.
Sasa watanzania wazalendo hatutaki tena leo hii ktk mapokezi ya hii ndege eti ununuzi wa hizi ndege ni mchango wa awamu zote kama mlivyotuambia ujenzi wa ikulu ya dodoma eti ni awamu zote zilihusika.
Tunataka kuskia mkimtambua hayati dkt JPM kwa upekee wake kama kiongozi jasiri na aliekuwa na uthubutu wa kulifufua shirika hili la ndege ATCL, siyo tena leo anajitokeza mtu fulani anatuambia yeye ndiye aliyechora ramani akaipeleka sijui wapi, yaani kutaka sifa zisizomuhusu, yaani ni sawa na ndg wanaogombania mali ALIZOZITAFUTA MAREHEMU.
Hakika Hayati Rais Dkt JPM ni mwamba unaotikisa ukiwa umelala, alama hizi za maendeleo alizotuachia watanzania zitadumu milele mioyoni mwetu na ndizo zonazotufanya TUMKUMBUKE KILA SIKU HASA KWA SISI WATANZANIA WAZALENDO.
Endelea kupumzika kwa amani Rais wetu
Sasa leo hii ndege hii itatua nchini tayari kwa kuanza kazi.
Sasa watanzania wazalendo hatutaki tena leo hii ktk mapokezi ya hii ndege eti ununuzi wa hizi ndege ni mchango wa awamu zote kama mlivyotuambia ujenzi wa ikulu ya dodoma eti ni awamu zote zilihusika.
Tunataka kuskia mkimtambua hayati dkt JPM kwa upekee wake kama kiongozi jasiri na aliekuwa na uthubutu wa kulifufua shirika hili la ndege ATCL, siyo tena leo anajitokeza mtu fulani anatuambia yeye ndiye aliyechora ramani akaipeleka sijui wapi, yaani kutaka sifa zisizomuhusu, yaani ni sawa na ndg wanaogombania mali ALIZOZITAFUTA MAREHEMU.
Hakika Hayati Rais Dkt JPM ni mwamba unaotikisa ukiwa umelala, alama hizi za maendeleo alizotuachia watanzania zitadumu milele mioyoni mwetu na ndizo zonazotufanya TUMKUMBUKE KILA SIKU HASA KWA SISI WATANZANIA WAZALENDO.
Endelea kupumzika kwa amani Rais wetu