Ana kauli za umungu ndani yake.Kati ya watu wajinga wajinga Herry James hakosi kwenye orodha.
Huwa anajiona kama maisha kamaliza, anaongea kwa kejeli, dharau, anaona kama wengine wasiokwenye nafasi hyo ndo wapumbavu ye mwelevu
Sir buyer: Mimi nitakuwa wa kwanza (huku akionyesha ishara ya kidole)
Hizi takataka za kufunga jela tu