Ndege mpya za atc hizooo!!!!!!!!!!

Ndege mpya za atc hizooo!!!!!!!!!!

mabomu

Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
43
Reaction score
7
Jamaa wanaingza ndege mpya leo kama hii
 

Attachments

  • NDEGE MPYA 1.JPG
    NDEGE MPYA 1.JPG
    190.1 KB · Views: 254
  • NDEGE MPYA 2.JPG
    NDEGE MPYA 2.JPG
    292.2 KB · Views: 212
Mbona nimesikia kama wamekopa? wameopa ndege mpya? je wamekopa walipe baadae au wameazima kama ile ya Air Malawi? Hivi ile chenji ya rada ingetosha kununua ndege kufufua shirika letu?
 
Hii ndo inabeba watu 180...wapanda ndege za atc nawatakia r.i.p mapemaaaaaaaa alfajiri ili mkidondoka muwe mlishazipokeakabla ya tukio...
 
Ndio mambo ya Mwakyembe? oh no itakua Ommar Nundu
 
Back
Top Bottom