Ndege Mpya ya ATCL katika picha

Shirikisha na ubongo wako mkuu, we were biting more than we can chew, unajua kwa nini tulishindwana na hiyo ya juu??
Kwanini eti mtaasisi. Kwa hiyo hii tutaiweza? Mwendokasi tuu zilikua hazina mafuta juzi kati hapo.
 
Nyakati zimebadilika, nani alikwambia mwendokasi hawakuwa na mafuta?? Na udart inaendeshwa na serikali?? Hujui unachokiongea!
Kwanini sasa serikali isingenipa mtu mwenye pesa kama mimi? Kwa hiyo ataukishikiwa bastola hapo utakiri kwamba Udart haina mapungufu?
 
Shirikisha na ubongo wako mkuu, we were biting more than we can chew, unajua kwa nini tulishindwana na hiyo ya juu??
Naona hana clue huyo jamaa...wao wanaangalia sura ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…