Safi sana, fahamu zimekurudia sasaKILA LA HERI ATCL
OVA
Mkuu nini kimekusibu maana post ya ATCL wewe unaleta U-Lowassa na U-Magufuli? Ndege za kwetu hizi zilizotokana na kodi zetu na wala si pesa za Magufuli wala za LowassaAnayeshabikia Chadema ya Lowasa na kuacha ccm ya Magufuli akapimwe akili.
Return to which route?Go and return 360,000 -320,000 shirika litaendelea kupumulia mashine..
Teh Teh Teh.....sasa unataka niombee shirika mabaya swahibaaa.....acha tuitakie kila heriSafi sana, fahamu zimekurudia sasa