Ndege mbili za Urusi zatua nchini Venezuela

Ndege mbili za Urusi zatua nchini Venezuela

Hakna namna marekani apigwe tu, kiherehere chake cha kuingilia mambo ya ndani sasa urusi yuko puani na mdomo hapo kwa maduro, USA wamezoea kuanzisha vita mbali na nchi yao ili wahanga wawe wengine wao na wananchi wao wakipeta, wacha tuone vita ikipiganwa pua na mdomo, makombora yadondoke USA pia wajue uonevu haufai.

Na USA alivyo muoga vita ndani ya USA lazima ataufyata mapema sana hongera URUSI

Nchi inashida ya misaada ya jamii ila wanapelekewa tani 35 za silaha na vifaa vyà kijeshi
 
Badala ya kupeleka chakula, dawa, vifaa vya matibabu au fedha wanapeleka zana za kijeshi ili kumlinda dikteta. Dah dunia hii ina mengi
 
Trump was busy. Investigation was closing. And, Venezuela labda haiko ktk high priority list. For time being.

Sent using Jamii Forums mobile app
Venezuela holds the largest Oil deposit in the world, Saudia kashapigwa pini apa. It is of high interest to USA sasaivi. Visima vipo jirani tu kuliko kwenda kwa wasaudia
 
Nchi inashida ya misaada ya jamii ila wanapelekewa tani 35 za silaha na vifaa vyà kijeshi

Aise...Unafikiri kama Mmarekani...Kule Afghanistani wamepeleka tani ngapi za chakula na tani ngapi za chakula na madawa? Kule Yugoslavia (serbia) Marekani walipeleka tani ngapi za chakula na ngapi za silaha...kule Syria walipeleka tani ngapi za chakula na tani ngapi za silaha???
 
Aise...Unafikiri kama Mmarekani...Kule Afhanistani wamepeleka tani napi za chakula na tani ngapi za chakula na madawa? Kule Yugoslavia (serbia) Marekani walipeleka tani ngapi za chakula na ngapi za silaha...kule Syria walipeleka tani napi za chakula na tani ngapi za silaha???
Mimi concern yangu ni kwa jamii ambayo ndo inayoteseka ila sio hao viongozi wenye maslahi yao. Hata uko yuğòslavia & Afghanistan waoteseka ni raia na raia hawahitaji hizo silaha bali misaada ya kijamiii
 
Mimi concern yangu ni kwa jamii ambayo ndo inayoteseka ila sio hao viongozi wenye maslahi yao. Hata uko yuğòslavia & Afghanistan waoteseka ni raia na raia hawahitaji hizo silaha bali misaada ya kijamiii

Marekani ndilo taifa linaloongoza duniani kwa kuua watu wasio na hatia...Miaka ya 1960 liliua maelfu kwa maelfu ya wananchi wa Vietnam wasio na hatia ikiwa ni pamoja na kutumia silaha za sumu za napalm...Wakati wa vita vya pili vya dunia Marekani iliua zaidi ya watu 80,000 huko Japan kwa kutupa bomu la nyuklia (atomiki) katika miji miwili ya Japan ukiwemo mji wa Hiroshima...Marekani ndilo taifa pekee duniani ambalo limewahi kutumia silaha za nyuklia...Marekani imeua maelfu kwa maelfu ya watu huko Irak, Syria, nicaragua, Honduras, Panama, Somalia, Libya, Serbia na kadhalika...Ni taifa ambalo liko 'msitari wa mbele' katika kukiuka haki za binadamu kwa kisingizio cha kuleta demokrasia...Lakini Marekani kwenyewe demokrasia haitekelezeki ipasavyo...weusi bado wanabaguliwa mpaka leo hii..Wanaoongoza Marekani ni kundi dogo kwenye viwanda vya bidhaa zikiwemo za kijeshi...'military-industrial complex'...wako tayari kuanzisha vita ili kupata faida....Marekani alijaribu kuingia Ukraine lakini Russia ikaamua kuchukua jimbo 'moja' la Ukraine la Crimea lenye kituo kimoja cha jeshi la majini la Russia....Marekani ndiyo mchafuzi wa amani duniani...
 
Sasa wangewaletea hata madawa basi. Niļiangalia documentary moja inaelezea hali ya uko Vene nì mbaya sana haswa huduma za âfya, wamama wanaenda kujifungulia Colombia

Wanayesababisha ni nani kama siyo huyo kibaraka aliyejitangaza raisi pamoja na washirika wake US, walihack wakakata hadi umeme, katika hali ya kidunia sasa hivi nchi nzima ikose umeme kuna ambacho kitaendelea?
 
Wanayesababisha ni nani kama siyo huyo kibaraka aliyejitangaza raisi pamoja na washirika wake US, walihack wakakata hadi umeme, katika hali ya kidunia sasa hivi nchi nzima ikose umeme kuna ambacho kitaendelea?
Mimi nipo upande wa wanachi ambao ni waathirika wakuu na ndio maana nikashangaa nchi kuletewa silaha bàdala ya chakula na huduma za kijamii ambazo ndo zinazohitajika zaidi. Sipo kwa US wala Maduro
 
Hakuna cha ajabu kwa wavenezuela kujifungulia Colombia wakati hapa Tanzania MBUNGE ANAKAA miezi 9 ughaibuni akilea mimba na KUJIFUNGULIA Marekani! We unashangaa watu kwenda kujifungua na kurudi,
Hìvi umeielewa vizuri hiyo comment mkuu? Wavenezuela wanaenda kujifungulia colombia sio kwa kutaka bali baĺi ni hali ngumu na ukosefu wa huduma, sasa huyo mbunge yeye ana hali gani ngumu?
 
Ukiona Urusi ametia mguu mahali ujue malengo ya Marekani hayawezi kutimia. Malengo ya Marekani Syria ilikuwa ni kumwondoa rais Assad ili wapandikize kibaraka wao ili iwe rahisi wao kujivunia mafuta kwa kisingizio cha kurejesha gharama walizotumia "kuwakomboa" wananchi!! Mahali penye maslahi ya Urusi hapagusiki, kama vile Crimea!!!!
Ndo maana yake mkuu. Alafu russia hiyo position ya venezuela anaipenda maana anakuwa anamchungulia marekani kwa ukaribu zaidi. Pia nimesikia wanajenga base kubwa kwenye kisiwa ambacho kutoka pale mpaka marekani ni lisaa limoja tu.
 
Usiamini kila unachokiona. Venezuela maisha yalikuwa yanaendelea kama kawaida (changamoto zikiwemo kama kwengineko duniani). Wapinzani wameandamana wiki tu mara tunaambiwa chakula hakuna madawa hakuna sijui nn hamna vimeenda wapi vifaa vyote vya hospitali ndani ya wiki tu? Maghala ya chakula yameisha tu ndani ya wiki? Mazao yote yamekauka ghafla? Madukani kote vyakula vimetoweka? Vyombo vya habari huwaga na ajenda flan wakat wa kureport mambo. Ni kama vile tulivyokuwa tunaletewa habari za "udikteta na uharamia usio na kifani" wa kina Saddam na Gaddafi
Sasa wangewaletea hata madawa basi. Niļiangalia documentary moja inaelezea hali ya uko Vene nì mbaya sana haswa huduma za âfya, wamama wanaenda kujifungulia Colombia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiamini kila unachokiona. Venezuela maisha yalikuwa yanaendelea kama kawaida (changamoto zikiwemo kama kwengineko duniani). Wapinzani wameandamana wiki tu mara tunaambiwa chakula hakuna madawa hakuna sijui nn hamna vimeenda wapi vifaa vyote vya hospitali ndani ya wiki tu? Maghala ya chakula yameisha tu ndani ya wiki? Mazao yote yamekauka ghafla? Madukani kote vyakula vimetoweka? Vyombo vya habari huwaga na ajenda flan wakat wa kureport mambo. Ni kama vile tulivyokuwa tunaletewa habari za "udikteta na uharamia usio na kifani" wa kina Saddam na Gaddafi

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza lini kufuatilia habari za Vene?
 
Marekani ndilo taifa linaloonoza duniani kwa kuua watu wasio na hatia...Miaka ya 1960 liliua maelfu kwa maelfu ya wananchi wa Vietnam wasio na hatia ikiwa ni pamoja na kutumia silaha za sumu za napalm...Wakati wa vita vya pili vya dunia Marekani iliua zaidi ya watu 80,000 huko Japan kwa kutupa bomu la nyuklia (atomiki) katika miji miwili ya Japan ukiwemo mji wa Hiroshima...Marekani ndilo taifa pekee duniani ambalo limewahi kutumia silaha za nyuklia...Marekani imeua maelfu kwa maelfu ya watu huko Irak, Syria, nicaragua, Honduras, Panama, Somalia, Libya, Serbia na kadhalika...Ni taifa ambalo liko 'msitari wa mbele' katika kukiuka haki za binadamu kwa kisingizio cha kuleta demokrasia...Lakini Marekani kwenyewe demokrasia haitekelezeki ipasavyo...weusi bado wanabaguliwa mpaka leo hii..Wanaoongoza Marekani ni kundi dogo kwenye viwanda vya bidhaa zikiwemo za kijeshi...'military-industrial complex'...wako tayari kuanzisha vita ili kupata faida....Marekani alijaribu kuingia Ukraine lakini Russia ikaamua kuchukua jimbo 'moja' la Ukraine la Crimea lenye kituo kimoja cha jeshi la majini la Russia....Marekani ndiyo mchafuzi wa amani duniani...
kweli kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom