Ndege kubwa ya Cargo yatua Dar. Wameingiza nini tena?

Ndege kubwa ya Cargo yatua Dar. Wameingiza nini tena?

Club Mate

Member
Joined
Aug 1, 2025
Posts
8
Reaction score
39
Hivi karibuni tu ilitoka moja ya ndege kubwa zaidi ya cargo JNIA (Uwanja wa ndege ya Julius Nyerere, Dar es Salaam).

Screenshot_2025-11-16-16-14-13-316_com.flightradar24free-edit.jpg

Screenshot_2025-11-16-16-14-43-759_com.flightradar24free-edit.jpg



Ndege hii ya aina ya Antonov An-124-100 maarufu kama 'Ruslan' ina uwezo wa kubeba mpaka kifaru.

images (2).jpeg

KSC-20200519-PH-KLS01_0051~orig.jpg


Ndege ilifika Dar saa 6 na nusu leo tarehe 16 kutoka... surprise surprise... Dubai.

Screenshot_2025-11-16-16-25-20-066_com.flightradar24free-edit.jpg


Wataalamu, vyombo vya mauaji vinajiandaa kwa D9..
 
Wameleta silahaa kwa ajili ya D9.Urusi ni bingwa wa kuuza silaha AK-47 duniani na hiyo ndege ishashutumiwa sana ikionekana afrika.
 
antonov 124 sio ndege kubwa tu ni ndege kubwa ya kijeshi hii sio ndege yakibiashara ni ndege ya kijeshi apo kuna silimia kuba imeleta silaha.
 
Wahuni hao kina kiziga na abdul.

Ndiyo mjionee Gen Z kamwe msije kutoka kizembe zembe hiyo D9 maana mtauliwa kama kuku.
 
Ya kutupiga waandamanaji wa 9D.

Tunawaambia tu 9D tunatoka.
Si kweli huo utakuwa ni ukichaa maana itakuwa hajipendi sasa hawezi kufanya hivyo sio rahisi yaliyotokea 29 ni mzigo kwake kwa sasa na hajui atautua vipi!
 
Mara nyingi Dubai wakikodisha An-124-100 Ruslan huwa wanabeba silaha kupelekea Rapid Support Forces, kundi ambalo ni Janjaweed ya zamani ambayo wanaiunga mkono kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe hapo Sudan.

Na mara nyingi ndege inatoka uwanja wa kijeshi wa Al Reef, uko UAE na kutua hasa Chad. Kisha shehena ya silaha za kuuzia Waafrika inavuka mpaka ardhini na kuingia Mashariki mwa Sudan. Au ndege kubwa kiasi za mizigo zinakuja direct Mashariki mwa Sudan ambapo RSF ina umiliki. Mwaka huu zimeleta medium range anti aircraft missile systems na drones ndogo kutoka maghala ya jeshi la UAE, hasa Chinese made weapons.

Gari za jeshi nyeusi zile zilizotumika na wale jamaa waliovaa t-shirt na jeans ambao tunasema ni Waganda ni za STREIT Group, kampuni ya UAE. NI 4×4 chassis na zina some ballistic protection.

Sasa hapa wameleta nini tena, ammunition au nini.
 
Hivi karibuni tu ilitoka moja ya ndege kubwa zaidi ya cargo JNIA (Uwanja wa ndege ya Julius Nyerere, Dar es Salaam).

View attachment 3502738
View attachment 3502739


Ndege hii ya aina ya Antonov An-124-100 maarufu kama 'Ruslan' ina uwezo wa kubeba mpaka kifaru.

View attachment 3502740
View attachment 3502741

Ndege ilifika Dar saa 6 na nusu leo tarehe 16 kutoka... surprise surprise... Dubai.

View attachment 3502747

Wataalamu, vyombo vya mauaji vinajiandaa kwa D9..
Ndege ilifika Dar saa 6 na nusu leo tarehe 16 kutoka... surprise surprise... Dubai.🥺🥺🥺🥺
 
Mara nyingi Dubai wakikodisha An-124-100 Ruslan huwa wanabeba silaha kupelekea Rapid Support Forces, kundi ambalo ni Janjaweed ya zamani ambayo wanaiunga mkono kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe hapo Sudan.

Na mara nyingi ndege inatoka uwanja wa kijeshi wa Al Reef, uko UAE na kutua hasa Chad. Kisha shehena ya silaha za kuuzia Waafrika inavuka mpaka ardhini na kuingia Mashariki mwa Sudan. Au ndege kubwa kiasi za mizigo zinakuja direct Mashariki mwa Sudan ambapo RSF ina umiliki. Mwaka huu zimeleta medium range anti aircraft missile systems na drones ndogo kutoka maghala ya jeshi la UAE, hasa Chinese made weapons.

Gari za jeshi nyeusi zile zilizotumika na wale jamaa waliovaa t-shirt na jeans ambao tunasema ni Waganda ni za STREIT Group, kampuni ya UAE. NI 4×4 chassis na zina some ballistic protection.

Sasa hapa wameleta nini tena, ammunition au nini.
Waarabu waarabu...hivi kumbe kazi bado ipo inabidi watoto wangu niwapeleke hata kenya hapo kwanza nibaki mm mwemyewe
 
Aise! Basi kama ni Waarabu watakuwa wamekuja kulinda Bandari zao na Mbuga zao za Wanyama.
 
Kwako ni bora waendelee kuteka, kuua, ufisadi na kuiba kura, umeeleweka
Hapana hatutaki wazalendo wauawe kama MO29 ndiyo maana tunasisitiza wakitoka watoke na ZANA kwa ajili ya kupambana na MAGENGE YA WAHUNI WA ABDUL....wakitoka na zana biashara saa nane ishakwisha watu wapo magogoni wanampaka wese la parachuti bibi chura.
 
Mara nyingi Dubai wakikodisha An-124-100 Ruslan huwa wanabeba silaha kupelekea Rapid Support Forces, kundi ambalo ni Janjaweed ya zamani ambayo wanaiunga mkono kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe hapo Sudan.

Na mara nyingi ndege inatoka uwanja wa kijeshi wa Al Reef, uko UAE na kutua hasa Chad. Kisha shehena ya silaha za kuuzia Waafrika inavuka mpaka ardhini na kuingia Mashariki mwa Sudan. Au ndege kubwa kiasi za mizigo zinakuja direct Mashariki mwa Sudan ambapo RSF ina umiliki. Mwaka huu zimeleta medium range anti aircraft missile systems na drones ndogo kutoka maghala ya jeshi la UAE, hasa Chinese made weapons.

Gari za jeshi nyeusi zile zilizotumika na wale jamaa waliovaa t-shirt na jeans ambao tunasema ni Waganda ni za STREIT Group, kampuni ya UAE. NI 4×4 chassis na zina some ballistic protection.

Sasa hapa wameleta nini tena, ammunition au nini.
I should assume wameleta air defence systems kwa ajili ya kulinda bandari, dhidi ya drones
 
Hivi karibuni tu ilitoka moja ya ndege kubwa zaidi ya cargo JNIA (Uwanja wa ndege ya Julius Nyerere, Dar es Salaam).

View attachment 3502738
View attachment 3502739


Ndege hii ya aina ya Antonov An-124-100 maarufu kama 'Ruslan' ina uwezo wa kubeba mpaka kifaru.

View attachment 3502740
View attachment 3502741

Ndege ilifika Dar saa 6 na nusu leo tarehe 16 kutoka... surprise surprise... Dubai.

View attachment 3502747

Wataalamu, vyombo vya mauaji vinajiandaa kwa D9..
Rostam kaingiza silaha.
 
Back
Top Bottom