NDEGE inayobeba Treni

Ni Antonov ya Russia hiyo!!!! Nadhani Antonov ndo dege kubwa la mizigo duniani hadi jana (Kama sikosei)!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Hahahaha!!!!! eti air craft carrier!!!!! unaijua air craft carrier weye?
mwambie ,wamezoea kukaririshwa mambo.me kwetu tumekaririswa kuwa aircraft carrier ni lile dude kubwa linalopita juu ya maji kama meli vile eti?likitumika kubeba wanamaji,na vifaa vya kivita,kama vile vifaru,magari ya deraya ,midege kibao ya kivita likiwa na eneo maalumu ya kurukia na kutua kwa midege hiyo sijui ndio manowari kwa lugha yetu,military aircraft carier.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…