Ndege 8 za Shaheed zaangushwa na jeshi la Ukraine

Ndege 8 za Shaheed zaangushwa na jeshi la Ukraine

5525

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
5,418
Reaction score
6,324
shaheed.jpg


Mkuu wa jimbo la Dnepropetrovsk Valentin Reznichenko amesema kwamba, mifumo ya kulinda anga ya Ukraine iliangusha ndege nane zisizo na rubani za shaheed , katika jimbo la Dnepropetrovsk .

Kulingana na Reznichenko, zote ziliangushwa katika eneo la Nikopol.
 
View attachment 2406532

Mkuu wa jimbo la Dnepropetrovsk Valentin Reznichenko amesema kwamba, mifumo ya kulinda anga ya Ukraine iliangusha ndege nane zisizo na rubani za shaheed , katika jimbo la Dnepropetrovsk .

Kulingana na Reznichenko, zote ziliangushwa katika eneo la Nikopol.
Ni jeshi la USA + NATO + UE wala si jeshi la UKRAINE Vs Jeshi la Mtu mmoja "PUT IN/RUSSIA".
 
Mkuu, upo kijiji gani hadi wakosa updates sahihi?

Nasikia siku hizi Ukraine inatumia miundombinu yake ya nishati kudungulia drones za muajemi 😆🤣😂😇

Hapa Zelensky analialia kwa maangamivu yaliyofanywa leo na drones (mlizozidungua 😄😆🤣). Kumbuka hizo ni kamikaze drones, zikienda hazitakiwi zirudii...Ikishajilipua mnaruhusiwa kupiga picha na kudai mmeidungua.🤣🤣

Habari yaripotiwa na chanzo chenu wenyewe (Radio Free Europe)
=====

Screenshot_20221104-151137_Chrome.jpg
 
Kwa akili tu za kawaida Russia haiwez kurusha hizo ndege nane tu

Sasa kama zimerushwa zaidi ya nane zingine zipo wapi hii habari haijakamilika.
 
Kwa akili tu za kawaida Russia haiwez kurusha hizo ndege nane tu

Sasa kama zimerushwa zaidi ya nane zingine zipo wapi hii habari haijakamilika.
Kurusha ndege nane alikuwa sahihi kabisa. Huwezi peleka ndege 50 kizembe. Pengine hizo chache ndo ilikuwa kupima uwezo wa defence ya Ukraine.
 
BBC walivyoripot vyanzo vya nishati Ukraine kulipuliwa walikuwa ni waongo? Wakiripor negative kuhusu Ukraine wanakuwa wapo sahihi ila kwa Urusi inakuwa propaganda?
BBC ina historia ya kuwa biased, kama ni mfuatiliaji kuna mtangazaji wa BBC alikatazwaga kuripoti habari za sex abuse zilizokuwa zinamkabili tajiri fulani.

BBC,DW,CNN,ABC, RT na wengineo ni vimeo.
 
Back
Top Bottom