NDC (Kibaha project)

NDC (Kibaha project)

GENE THERAPY

Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
52
Reaction score
102
Wakuu, mradi wa biolarvicides plant tuliousubiri takriban miaka miwili sasa tangu tufanye interw, taarifa zilizopo ni kwamba wameajiri kwanza mafundi. naomba kama kuna mdau miongoni mwa wanaofunga mitambo atusaidie walipofikia, kama wamemaliza kufunga au bado.
na kama kuna tetesi juu ya wengine wataanza kuajiriwa lini au kazi itaanza lini mtujulishe.

Natanguliza shukrani zangu nikiamini kuwa nitapaja majibu.
nawasilisha.
 
huu mradi nilishaukatia tama kabisa,niliomba bt kimya,hata interview sikuitwa duu,
 
Bado Ndugu hawajamaliza ita wadau wote kwenye mradi huo..walitegemea mwezi wa kumi wafungue sema kuna obstacles zilitokea na Lami yakuingia plant ilipo ilikuwa haijamalizika kuwekwa lami so kaa mkao kuanzia mwanzoni february- 25 april 2015..kutokana na taarifa za toka kwa wanahabari wao pindi wadau wakiwasiliana nao..Kuwa mvumilivu maana wizara mbili zinaingiliana ya Afya na wizara ya Viwand na Pesa washawalipa 90% kwa mradi huo 10% watalipa Machine zikianza operation Man.
 
Back
Top Bottom