Ndani ya FASTJET...

Ndani ya FASTJET...

Habari, wana jamvi naomba kufahmishwa kwa wale ambao wameshawahi kuipanda hiyo ndege.Kwan kuna jamaa yangu kaja jana kutoka mwanza na hyo ndege,kaniambia kuwa vitu kama vinywaji na vitafunwa unanunua kwa cash, sasa naomba uhakika wa hilo ili nitakapoanza kuzimeki ili na mm nipande ndege kwa mara ya kwanza niweke na ka akiba ka vinywaji,namaanisha kwa nauli ya tsh 32 elfu ya bila vat,nasubiri majibu yenu ili nikaweke booking ya kuondoka mwezi wa 6 kuelekea mwanza,mwisho asanten fastjet kwa kufanya ndoto zetu za kupanda ndege kuwa kweli,naomba mungu aniwezeshe nifke huo mwezi wa sitaa

Bahati mbaya sana mzee mpaka kufikia mwezi wa sita Fastjet hawatakuwepo angani.Take it from me guys! I am deep inside the aviation industry!
 
kwa upande wangu nadhani kwa huo muda wa saa moja hata kama utapata kinywaji sio mbaya maana jamaa wamerahisha sana maisha ya watanzania. Big UP FASTJET
 
Wewe panga vizuri tu mambo yako nadhani safari sio ngumu sana kihivyo, tofauti nakupewa vitu vingi huku gharama ni kubwa. Big up fastjet
 
Kwa awaida budget airline huwa hawagawi vinywaji wala chakula bure. Abiria lazima ununue. Usilalamike sana kwani hiyo 32,000 kwa dakika chake tu Bongo is a miracle kwa watanzania.
 
Back
Top Bottom