interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Mimi ni chanzo cha wewe kuumbwa, au hujui kuwa ulitokea ubavuni kwangu Mamii?
Kwani wewe ni nani kwangu?
Kwani wewe ni nani kwangu?
Miaka 26 unahangaika nae?Naishi na mume na mtoto wa wifi angu ana 26 miaka kaja kurudia mtihan
Kweli ananinyima usingizi bint hataki umwambie chochote akikosea ukimrekebisha ananuna anisemesh
1) ana group la wanafunzi wenzie wakija kusoma mpaka unaona aibu mavazi waliyovaa yaajabu ..maongez yao niyawanaume tu nikampiga marufuku mbele ya mjomba wake hawa mabint Kama hawana nguo nzuri za kuvaa nisiwaonde ndan kwangu...
alinuna wiki nzima, mama mkwe alipokuja kutusalimia ambae Ni bibi yake kamlea akaanza kuwaleta tena nilivyomkataza alizila kula wiki siku 2 mama mkwe akanichukia
2) anakibur yan usimwambie hata fanya usafi anataka yeye ndie apange kila kitu ndan akikosea usimwambie kitu
Mbaya zaidi mme wangu yaan nimpole kupita maelezo ambae hawez kuongea wala kukemea kitu yan hata kwangu nimtu asieweza kabisa
Bint anaweza rudi ata usiku mjomba wake anaishia kuguna tu
Nimejaribu kumweleza tabia ya mwanae lkn ananyamaza tu
Sijui nifanyeje jmn
HahahahahaMalaya Mwandamizi
Usijali achana nae, halafu me nafundisha Tuition nipe namba yake ,anasoma history na English language?Issue ni kibur dah!!! any way Asante nitajitahidi tu Mungu anisaidie

Naishi na mume na mtoto wa wifi angu ana 26 miaka kaja kurudia mtihan
Kweli ananinyima usingizi bint hataki umwambie chochote akikosea ukimrekebisha ananuna anisemesh
1) ana group la wanafunzi wenzie wakija kusoma mpaka unaona aibu mavazi waliyovaa yaajabu ..maongez yao niyawanaume tu nikampiga marufuku mbele ya mjomba wake hawa mabint Kama hawana nguo nzuri za kuvaa nisiwaonde ndan kwangu...
alinuna wiki nzima, mama mkwe alipokuja kutusalimia ambae Ni bibi yake kamlea akaanza kuwaleta tena nilivyomkataza alizila kula wiki siku 2 mama mkwe akanichukia
2) anakibur yan usimwambie hata fanya usafi anataka yeye ndie apange kila kitu ndan akikosea usimwambie kitu
Mbaya zaidi mme wangu yaan nimpole kupita maelezo ambae hawez kuongea wala kukemea kitu yan hata kwangu nimtu asieweza kabisa
Bint anaweza rudi ata usiku mjomba wake anaishia kuguna tu
Nimejaribu kumweleza tabia ya mwanae lkn ananyamaza tu
Sijui nifanyeje jmn
Anariseat form 4?Anafanya mtihan mwez wa 11 ataenda wapi?
Duu miaka yote alikuwa anasoma?Form 4
Wanawake wengi mnayafanya maisha yenu kuwa magumu bila sababu ya msingi.Ni kwa sababu kwenye hiyo ndoa anateseka mwanamke kwahiyo inaonekana kawaida ila angekuwa anateseka mwanaume ungeshasikia kauli kama "wanawake ni mashetani" mara "wanawake wa siku hizi hawafai kwa kuoa ni wa kupiga na kusepa tu" na mambo kama hayo
Najihisi kuumwaNimekumiss tu kitoto kizuri, au haujihisi kuwa na amani nikikumiss Mama?
Mimi ni chanzo cha wewe kuumbwa, au hujui kuwa ukitokea ubavuni kwangu Mamii?
Wanawake wengi mnayafanya maisha yenu kuwa magumu bila sababu ya msingi.
Huyo binti ujue hapo kichwani kwake ni kopo tu hamna akili.
Unashindana vipi na mtu mzima tena mwehu?!!
Hao rafiki wa huyo binti na nguo zao za ajabu wanamdhuru nini huyu jacky 1 ?
Watu wazima ambao ni failure kitabia unataka kuwabadili tabia uzeeni?
Nahisi pia huyu mama mwenye nyumba ni insecure(hajiamini) kiasi flani anaogopa hao magube gube watampora mume wake.
Mwezi wa 10 sio mbali atamaliza mitihani, aweke msimamo akimaliza aondoke hapo kwake.