hhhhj
Member
- Oct 5, 2016
- 41
- 68
NDALICHAKO WEWE NI PROFESA BWANA
Hebu kaa tafakari hivi kodi iliyokuwa ikiwasomesha imeenda bure?....
Hebu tafakar mlipo kuwa mnasomesha mlitegemea wakimaliza wakachome mahindi?....
Njoo na takwimu wangapi wapo kazini,masomoni na idadi ya wanafunzi iliyopo na uwiano baina ya mwalimu na wanafunzi ndiyo useme wanatosha...
Au unadanganyika na huo wingi unao uona kwa shule za mijini..
Haya huko wengi na za msingi je nao wamejaa...profesa funguka pesa hakuna watu wajikite na shughuli zingine mazima...
Nahii athari yake kukaa muda mrefu wengi wanasahau na kupoteza haiba ya ualimu na humpelekea baadala ya kumuona mwafunzi wake anamuona demu wake au mmesahau waalimu wa MEMKWA 2005 wale awamu ya kwanza
Hebu kaa tafakari hivi kodi iliyokuwa ikiwasomesha imeenda bure?....
Hebu tafakar mlipo kuwa mnasomesha mlitegemea wakimaliza wakachome mahindi?....
Njoo na takwimu wangapi wapo kazini,masomoni na idadi ya wanafunzi iliyopo na uwiano baina ya mwalimu na wanafunzi ndiyo useme wanatosha...
Au unadanganyika na huo wingi unao uona kwa shule za mijini..
Haya huko wengi na za msingi je nao wamejaa...profesa funguka pesa hakuna watu wajikite na shughuli zingine mazima...
Nahii athari yake kukaa muda mrefu wengi wanasahau na kupoteza haiba ya ualimu na humpelekea baadala ya kumuona mwafunzi wake anamuona demu wake au mmesahau waalimu wa MEMKWA 2005 wale awamu ya kwanza