Cheology JF-Expert Member Joined Jun 25, 2022 Posts 384 Reaction score 606 Mar 31, 2024 #21 Huyu mama amevurunda wapi?
Annie X6 JF-Expert Member Joined Mar 16, 2023 Posts 725 Reaction score 1,378 Mar 31, 2024 #22 Ndalichako si mtu wa kawaida. Ana akili za juu mno
Mama Edina JF-Expert Member Joined Dec 18, 2022 Posts 942 Reaction score 2,271 Mar 31, 2024 #23 Mama anauuwezo mkubwa. Necta hakukuwa na maswali na matokeo ya mchezomchezo
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 45,309 Reaction score 37,106 Mar 31, 2024 #24 Cheology said: Nguli ndalichako amekosea wapi. Maana kapigwa chini kimasihara View attachment 2949644 Maana sio bure Click to expand... ana vyeti vizuri sawa, tu but ubunifu, utendaji, mipango ni wakawaida sana, sio wa kumtegemea saaaana...
Cheology said: Nguli ndalichako amekosea wapi. Maana kapigwa chini kimasihara View attachment 2949644 Maana sio bure Click to expand... ana vyeti vizuri sawa, tu but ubunifu, utendaji, mipango ni wakawaida sana, sio wa kumtegemea saaaana...
kilambimkwidu JF-Expert Member Joined Jul 21, 2017 Posts 6,207 Reaction score 7,364 Mar 31, 2024 #25 Ukiuloza watu wa wizara aliyohudumu watakwambia HAFAI mbali na kujenga shule jimboni kwake na kuipa jina lake binafsi NDALICHAKO
Ukiuloza watu wa wizara aliyohudumu watakwambia HAFAI mbali na kujenga shule jimboni kwake na kuipa jina lake binafsi NDALICHAKO
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 61,634 Reaction score 74,487 Mar 31, 2024 #26 Ndiyo Hivyo Sasa Hivi Ni Mwendo Wa Ngiri Mkia Juu Tunawahi Taa Za 2025 MudaHuu Gari Ilikuwa Inachomwa Yaani Ila Mzee Hajafa
Ndiyo Hivyo Sasa Hivi Ni Mwendo Wa Ngiri Mkia Juu Tunawahi Taa Za 2025 MudaHuu Gari Ilikuwa Inachomwa Yaani Ila Mzee Hajafa