Ndaisaba mwenyekiti mpya CHADEMA Kata ya Nyakato

Ndaisaba mwenyekiti mpya CHADEMA Kata ya Nyakato

Uchaguzi mdogo wa mwenyekiti wa kitongoji cha Nkoanasar kata ya songoro Arumeru Mashariki.
Chadema kura 64
CCM kura 07.

Jumla ya kura zote 70.

Arusha uchaguzi wa Chadema ni msingi umekamilika katika kata 12 kati ya 19 na zilizobaki zitakamilika kabla ya July kuisha!

Waache maccm yaendelee kuhangaika na kiti cha Mbowe, sisi tunakijenga chama!
 
Uchaguzi mdogo wa mwenyekiti wa kitongoji cha Nkoanasar kata ya songoro Arumeru Mashariki.
Chadema kura 64
CCM kura 07.

Jumla ya kura zote 70.

Arusha uchaguzi wa Chadema ni msingi umekamilika katika kata 12 kati ya 19 na zilizobaki zitakamilika kabla ya July kuisha!

Waache maccm yaendelee kuhangaika na kiti cha Mbowe, sisi tunakijenga chama!



Naaaaam! Mafisadi mwisho wao umefika Mkubwa!
 
Mkifika kwenye Chaguzi mwenyekiti wa mikoa na Taifa nishtue....nataka nichukue form ya Bavicha Taifa
 
Pamoja daima tutawakomboa watanzania wanaonyanyaswa ndani nchi yao.
 
Wakuu

Kama mnavyojua kuwa uchaguzi ndani ya chama unaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini kuanzia ngazi ya msingi, matawi na kata. Leo umefanyika uchaguzi wa kata ya Nyakato wilaya ya Ilemela mkoa wa Mwanza.

Uchaguzi huo ulikuwa na wagombea watatu, Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti walikuwa ni Ndaisaba Burushi, John Membe na Didas Seyuu.

Wagombea hao na kura zao

1. Ndaisaba Aroni Burushi - kura 45.

2. John Membe kura - 33

Na

3. Didas Seyuu kura - 22.

Jumla ya wapiga kura ni 100. Hakuna kura iliyoharibika.

Kata hiyo sasa inaungana na kata nyingine zilizo maliza chaguzi kujiandaa kwa uchaguzi wa wilaya, mkoa na baadae Taifa.

Pichani ni matukio wakati wa uchaguzi huo.

Kwahiyo huyo NDAISABA 'Mrundi' ndio mmeona anafaa kuwa kiongozi bora, wakati wazawa wako wengi!

CDM haiishi vituko!!!
 
Kwahiyo huyo NDAISABA 'Mrundi' ndio mmeona anafaa kuwa kiongozi bora, wakati wazawa wako wengi!

CDM haiishi vituko!!!

Ni kama vile katibu Mkuu wetu Msomali.
 
Ni kama vile katibu Mkuu wetu Msomali.

CDM na CCM bado ni janga katika kumkomboa mtanzania masikini!

Kwanini nafasi hizo wanapewa wavamizi hali wazawa wakibakia kuwapigia makofi hawa wavamizi na wakimbizi!!!
 
CDM na CCM bado ni janga katika kumkomboa mtanzania masikini!

Kwanini nafasi hizo wanapewa wavamizi hali wazawa wakibakia kuwapigia makofi hawa wavamizi na wakimbizi!!!

CHADEMA ni Mpango wa Mungu
 
A family company! Wenye akili za kushikiwa tu ndio wanaoamini kuwa CDM ni mpango a muungu wa kaskazini!

CHADEMA ni Mpango wa Mungu.
Sote tuna wajibu wa kuufanikisha
 
Back
Top Bottom