DUUMpishi alitumwa kwenda kumuua kupitia chakula, mpishi akazingua, wakuu wakaona huyu ameshajua nia yetu hvy tupite nae, jamaa akaona eh ngoja na mm nisepe kabla wakuu hawajanichinja kama mpishi
Hili nalo neno. Ni kama Ile "Mbwa wa Kingunge Ngombare Mwiru a k.a Chuma"Mpishi alitumwa kwenda kumuua kupitia chakula, mpishi akazingua, wakuu wakaona huyu ameshajua nia yetu hvy tupite nae, jamaa akaona eh ngoja na mm nisepe kabla wakuu hawajanichinja kama mpishi
Hili nalo neno. Ni kama Ile "Mbwa wa Kingunge Ngombare Mwiru a k.a Chuma"Mpishi alitumwa kwenda kumuua kupitia chakula, mpishi akazingua, wakuu wakaona huyu ameshajua nia yetu hvy tupite nae, jamaa akaona eh ngoja na mm nisepe kabla wakuu hawajanichinja kama mpishi
Tanzania hatutafikia hatua ya katiba mpya hivi hivi wakati katiba mpya haiwapi favour wanao enjoy nchi.Kuna dalili katiba mpya ikaja kwa kumwagika damu
Madhara ya kubugia matamba kwenye chinduli haya.Tanzania hatutafikia hatua ya katiba mpya hivi hivi wakati katiba mpya haiwapi favour wanao enjoy nchi.
Lazima tupitie katika tanuru la moto ndiyo nchi itakuja ku stablize kwanza nchi yetu haijawahi pitia misuko suko zaidi ya uchaguzi uliopita. Tulitaka kuruka stages.
Hata nchi zilizotulia hazikufika ghafla ghafla tu,watu walinyooshana na heshima ikawepo.
Nchi hii haitatulia kwa maneno matupu. Nakuunga mkono kauli yako,na bila hivyo katiba mpya itabaki kuimbwa miaka 100 mbele.
Sasahivi wanaangalia succession zaidi; sidhani kama watakuja kukosea kama ya JPM tena.
Kwahiyo tiseme ripmupishii ama?Mpishi alitumwa kwenda kumuua kupitia chakula, mpishi akazingua, wakuu wakaona huyu ameshajua nia yetu hvy tupite nae, jamaa akaona eh ngoja na mm nisepe kabla wakuu hawajanichinja kama mpishi
Kuliko huu ujinga uliokwisha shuhudiwa ikiwa hilondio mbagala pekee ni kheri iwakawa hivyo!Kuna dalili katiba mpya ikaja kwa kumwagika damu
Naam 🤝Kwahiyo tiseme ripmupishii ama?